Yanga tunasimama na Mabululu na Ahly Tripoli kiujumla

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.

Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.

Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.

 
Huyu jamaa nimeangalia hela yake ya usajili kuja Tripoli 1.2m Euro, mshahara 600k USD miaka miwili. Japo sijawahi kuwaona Al Ahly Tripoli wakicheza ila kama wana uwezo wa kutoa kiasi hiki cha fedha,hii sio timu ya kubeza.
 
plan watanzania wote tupite. sema simba wanadhalau sana siku hizi.

ila plan wote twende makundi
 
Mwanasheria wenu amepuyanga leo acha kutafuta kichaka.

Mwanasheria wa Fountain Gate Fc amesema aliwatuma Yanga barua ya kuwajulisha kuwa wamekuja mkataba, na Yanga haikujibu.

anasema silence means acceptance.
 
Mwanasheria wenu amepuyanga leo acha kutafuta kichaka.

Mwanasheria wa Fountain Gate Fc amesema aliwatuma Yanga barua ya kuwajulisha kuwa wamekuja mkataba, na Yanga haikujibu.

anasema silence means acceptance.
Kwani maamuzi tayari? Subiria then itafamika, Je kama Yanga akishinda hilo Shauri, timu anayo aliyo ichezea hiyo club itakuwa tayari kukatwa points?
 
Watapigwa kama ngoma.
 
Lazma Mabululu Awafanyie Makolo kama Pdiddy anavowafanyia kina usher, pdiddy, diamond, burna boy,
 
kagoma akicheza j2 simba inafungiwa na CAF na FIFA
 
Mazezeta FC
 
Watanzania akili zetu zinaharibiwa na ushabiki wa hizi timu mbili. Lkn pia huu ushabiki unaaksi hulka na fikra zetu zilivyojaa uchawi na roho mbaya mioyoni mwetu.
Upo sahihi
 
Utopolo wengi malofa na hamnazo, kwa hiyo Uzi kama huu unadhihirisha Hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…