Yanga tunasimama na Mabululu na Ahly Tripoli kiujumla

Yanga tunasimama na Mabululu na Ahly Tripoli kiujumla

FB_IMG_17259811657581398.jpg
 
Nyie ni yanga au Young Africans, hebu weka sawa kwanza hili.
 
MABULULU KIBOKO YA MAKOLO, LAZMA KELELE ZA MANGUNGU ATOKE ZIREJEE
 
Huyu jamaa nimeangalia hela yake ya usajili kuja Tripoli 1.2m Euro, mshahara 600k USD miaka miwili. Japo sijawahi kuwaona Al Ahly Tripoli wakicheza ila kama wana uwezo wa kutoa kiasi hiki cha fedha,hii sio timu ya kubeza.
Angalua paroll ya Al Hilal pia. Wale wasudani
 
PIA NIMEAMBIWA HAWA WARABU WANAFITNA HATARI, YAANI LAZIMA SIMBA VYUMBA VYAO VIPULIZIWE DAWA WALALE ILI MABULULU AKAFANYE YAKE
 
Huyu jamaa nimeangalia hela yake ya usajili kuja Tripoli 1.2m Euro, mshahara 600k USD miaka miwili. Japo sijawahi kuwaona Al Ahly Tripoli wakicheza ila kama wana uwezo wa kutoa kiasi hiki cha fedha,hii sio timu ya kubeza.
Pesa hazichezi, vinginevyo AZAM ingeifunga APR
 
Sidhani kama Simba watafungwa goli 5 bali goli 3 tu. Marudiano kwa Mkapa itakuwa suluhu.

Simba mechi zake shirikisho ni mbili tu. Msaada wa Simba ilikuwa Chama ambae tunae utopoloni.

Yanga raha yetu ni kuona simba akichinjwa na kisu butu cha Mabululu!!

Ni kweli wenye akili uto ni watatu japo huko Simba yuko mmoja tu Rage!!
 
Kiukweli Makolo hawavukii,Hawana Bekii Wala wamaliziajiiii....ivi Mabululuu aamue tufungee azuiwe na Kale kachemalonii Fondoo🤣🤣🤣nimekaa lee....ugeniniii wanakula 2.
 
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.

Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.

Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.


Mimi ni Yanga damu damu lakini sikubaliani na ujinga huu. Nitaishangilia sana Simba na ninataka Simba ishinde kusudi Tanzania tuendelee kuheshimiwa kimataifa.

Msemaji wa Simba alipopigia kampeini kuwa goli halali la la Yanga dhidi ya mamelodi halikuwa goli kwa sababu kama lingekubaliwa basi Simba ingekosa pa kupumulia ulikuwa ni ujinga wake tu, ambao wengine wenye akili timamu hatuwezi kurithi.
 
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.

Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.

Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.


Daaah, kweli dunia duara.
 
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.

Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.

Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.


Tutawafunga sana na Huyo Mabuluu wenu
 
Hawa Biashara ya Musoma iliwahi kuwakanda Mbili hapa
 
Back
Top Bottom