permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Sasa utamwona vizuri.Jamaa anafunga goli za kawaida sana
Sijaona goli la uwezo binafsi zaidi ya mashuti ya mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa utamwona vizuri.Jamaa anafunga goli za kawaida sana
Sijaona goli la uwezo binafsi zaidi ya mashuti ya mbali
Angalua paroll ya Al Hilal pia. Wale wasudaniHuyu jamaa nimeangalia hela yake ya usajili kuja Tripoli 1.2m Euro, mshahara 600k USD miaka miwili. Japo sijawahi kuwaona Al Ahly Tripoli wakicheza ila kama wana uwezo wa kutoa kiasi hiki cha fedha,hii sio timu ya kubeza.
Pesa hazichezi, vinginevyo AZAM ingeifunga APRHuyu jamaa nimeangalia hela yake ya usajili kuja Tripoli 1.2m Euro, mshahara 600k USD miaka miwili. Japo sijawahi kuwaona Al Ahly Tripoli wakicheza ila kama wana uwezo wa kutoa kiasi hiki cha fedha,hii sio timu ya kubeza.
Acha kukalili unazani kila timu ipo kama Azam,hujui fan base yao hao,maana mshabiki ni mchezaji wa kumi na mbili ambaye Azam hana.Pesa hazichezi, vinginevyo AZAM ingeifunga APR
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.
Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.
Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.
P Diddy aliwafanya nini wakina P Diddy?Lazma Mabululu Awafanyie Makolo kama Pdiddy anavowafanyia kina usher, pdiddy, diamond, burna boy,
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.
Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.
Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.
Aliwatafuna, hata ja rule alitafunwa na pdiddy, meek mill, pia diamond alijifungia Chumbani na pdiddyP Diddy aliwafanya nini wakina P Diddy?
Wakati huo wewe uko wapi?Aliwatafuna, hata ja rule alitafunwa na pdiddy, meek mill, pia diamond alijifungia Chumbani na pdiddy
Nilikuwa nikimshikia mabululu miguu akiwakanda makoloWakati huo wewe uko wapi?
UBAYA UBWEGE, UBAYA UNAFIKI
Sisi yanga Fc tunasimama na striker la Dunia Mabululu, na nina uhakika tawi la timu yetu huko libya yaani ahly tripoli tunafuzu kuingia makundi ya confedaration , na makolo waliotuibia mchezaji wetu Kagoma wataenda kuipata pata kwa mabululu.
Natabiri mechi ya kwanza Simba anakufa 5 bila, mechi ya pili kwa mkapa ni suluhu, kwanza Tripoli haiwezi kufungwa na timu isiyo na muunganiko.
Tafadhali WanaYanga wenzangu angalieni clip za mabululu ambaye ataenda kumfunga my wetu kolo.