OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Unatukana mamba mkuuNa bado hamjasema, wiki ijayo taabu iko palepale mpaka muipigie Simba saluti kuwa ni timu kubwa, pumbav.
Mfumo huu huzalisha offside nyingi ..!Huu mfumo wa 4:2:3:1 ni mfumo mbovu kwenye mashindano ya kimataifa yenye waamuzi wazuri na teknolojia ya VAR, Huo mfumo huzalisha offside nyingi pia unaruhusu mashambulizi ya pembeni, huu mfumo unafaa kitumika sana huku kwetu kwenye marefa wa kimakosa ya kibinadamu (marefa wabovu)View attachment 2824540
Siku zote huu mfumo huwa haufanikiwi kwa asilimia kubwa mbele ya mfumo wa 4:3:3 ambao ndio mfumo walioutumia CRB ndio maana waliweza kuwazuia yanga kila wanaporikaribia goli, pia huo mfumo unawawezesha mabeki kupata backup ya ulinzi.View attachment 2824570
Nadhani kocha Gamondi atakuwa amepata somo kwa kilichotokea jana hivyo basi atakuwa anaenda kwa tahadhari,
Tutegemee mambo makubwa
Ukija na mbinu fulani na wapinzani wako wanakuja na mbinu mbadala. Kubalini tu mlizidiwa uwezo fullstop.Huu mfumo wa 4:2:3:1 ni mfumo mbovu kwenye mashindano ya kimataifa yenye waamuzi wazuri na teknolojia ya VAR, Huo mfumo huzalisha offside nyingi pia unaruhusu mashambulizi ya pembeni, huu mfumo unafaa kitumika sana huku kwetu kwenye marefa wa kimakosa ya kibinadamu (marefa wabovu)View attachment 2824540
Siku zote huu mfumo huwa haufanikiwi kwa asilimia kubwa mbele ya mfumo wa 4:3:3 ambao ndio mfumo walioutumia CRB ndio maana waliweza kuwazuia yanga kila wanaporikaribia goli, pia huo mfumo unawawezesha mabeki kupata backup ya ulinzi.View attachment 2824570
Nadhani kocha Gamondi atakuwa amepata somo kwa kilichotokea jana hivyo basi atakuwa anaenda kwa tahadhari,
Tutegemee mambo makubwa
simba timu kubwa kwenu huko bunju sio hapa dar...timu tunayoijua hapa dar ni yanga na azam kwa mbaaaali..Na bado hamjasema, wiki ijayo taabu iko palepale mpaka muipigie Simba saluti kuwa ni timu kubwa, pumbav.