Yanga tushamaliza mchezo muda huu

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Wachezaji wa Simba wote tumewafunga matofali miguuni. Kipa ndo mbaya zaidi amevalishwa miwani ya mbao. Mtaalamu katuambia hamna shida refa tu naye awe muelewa.

Hili pambano tumejipanga nalo sana wachezaji wamepikwa wakapikika vizuri sana kwa kutumia wataalam wa ndani na nje. Tuna uhakika Simba hatocheza mpira wake wa burudani. Sisi tunaenda kupiga kuua na kuponda ponda kabisa.
 
Kama chama atakosekana kwenye mechi.. Basi tutawafunga kwa tofauti ya bao moja..Kama chama yupo basi tutawafunga tofauti ya bao mbili
 
Nyie endeleeni kujifariji tu ila mi nawaambieni kabisa kua huu ugonjwa sio wa kuuza godoro
 
Mpaka sasa tunajua Yanga atashinda,tunachoendea uwanjani ni kuangalia magoli tu, Idadi na wafungaji
 
Wataalamu wanasema Ushindi Upo bila shaka kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…