Yanga Tv inapatikana chanel namba ngapi huku AzamTv?

Yanga Tv inapatikana chanel namba ngapi huku AzamTv?

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mbona kama wametupiga sound hawa watu wa Yanga. Walizindua chanel yao kwa mbwembwe ila mpaka sasa mbona hatuioni, au ni mimi ndio sijui namba ya chaneli?
B5682782-A9B0-4398-AE69-69E3E45422B6.jpeg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tunasubili mrudi kutoka Dubai ndio tuweke wazi
Chaneli inawahusu msimbazi? Lakini uto tv hata enzi ya uongozi wa dismas ten ilikuwepo kwenye kishumbuzi cha azam upya wako uko wapi
Au mnakazia yale aliosema haji mchapiwa mke manara uko utopoloni wenye akili ni wa3 tu?
 
Chaneli inawahusu msimbazi? Lakini uto tv hata enzi ya uongozi wa dismas ten ilikuwepo kwenye kishumbuzi cha azam upya wako uko wapi
Au mnakazia yale aliosema haji mchapiwa mke manara uko utopoloni wenye akili ni wa3 tu?
Vipi unataarifa mpya za manzoki?
 
Acha kuhamisha magori habu nijibu pale juu
Huwa sipo interested sana na mambo ya nje ya uwanja mkuu. Football is all about uwanjani na kwa sasa Dar Young Africans itawanyanyasa sana Simba paka pale mtakapofanya usajili mzuri[emoji1][emoji1]
 
Huwa sipo interested sana na mambo ya nje ya uwanja mkuu. Football is all about uwanjani na kwa sasa Dar Young Africans itawanyanyasa sana Simba paka pale mtakapofanya usajili mzuri[emoji1][emoji1]
Mbona swali langu limehusu uwanjani uto tv haihusiki na uwanja?
Mnaumizwa na simba kwenda dubai wakati nyie mnajiita matajiri mnaishia kwa yule mama mtu 3 kuwa na akili utopoloni
 
Back
Top Bottom