Kwan hukuona account ya LaLiga Santander....yenye blue tick kabisa...Kwa kili zako za kushikiwa na manara unadhan la liga wanaweza kufanya huo upumbavuu?ndo maana hapo kinye ...fc weny akili ni wawil tu
Dogo acha kelele...ulianza ushabik kipnd cha samia unaanza kujiona mkubwa et?Kwan hukuona account ya LaLiga Santander....yenye blue tick kabisa...
Kweli wabongo tuna safari ndefu kuelewa
Lazima uogope. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naongea....lkn naogpa dah
Kwa hyo kila blue tick ndo umejikaririsha ndo official acount?Hapana mkuu....ila nashangaa vitu vidg Kama hivi huelew[emoji23][emoji23]
mi kwani nimesemaje mkuu,mi nimesema tu"uefa ya Bonyokwa au Vipers uefa ya Uganda"[emoji16][emoji23]Mkuu.....Sasa ulitaka tutumie nguvu kubwa kushinda ...hata kwny friend match
Atumuliwe kwa kipi???Naogpa lazima kocha Zoran atimuliwe baada ya tareh 13[emoji23][emoji23]
Kaa kwa kutulia tyuuh. maki bado yupo sanaaa.Failure to meet kolo's expectations[emoji23][emoji23]
Mkuu Sasa mechi ya kirafiki .....ulitaka tuikamie Kama ya muhimuKucheza UEFA wakati viper wanawakojolea goli mbili kavu dk ya kwanza tu tayari utopolo ushawekwa tena nyumbani kwenu ndio uwe na mawazo ya UEFA
Manara hakukosea kusema ukimtoa kikwete na baba ake mashabiki wa Yanga wote waliobaki hawana akili
Muda utasema tutaona naona mmepangiwa na wasudan naona mnaweza kutoboa mkijipangaMkuu Sasa mechi ya kirafiki .....ulitaka tuikamie Kama ya muhimu
Target iwe kucheza magruop naona pia super league mtashiiriki kwa ajili ya Simba maana Simba hatuwezi kukubali Yanga asishiriki ila kuongeza mvuto imagine ikitokea Simba na Yanga kundi mojaKombe la CAF.....tunalileta bongo..mapema sana