Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Maisha yanaenda kasi sana
mpigwe tu
uefa hiyo labda mkacheze na mbuni fc
 
Utopolo walisajili kichaa, mgonjwa mahututi, mzee mstaafu na Vimbwengo wengine wakifikiri CAF ni sawa la ligi ya mbuzi....

Acha wanyooshwe kwanza, akili zitawakaa sawa
Muda bado mkuu...
 
Eeeh mpakamchengerwa kaingilia kati na usajili wenu msaidiwe kushinda kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…