Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

Ile timu iliyoporwa kwa Mzee Kilomoni inaweza isiingie uwanjani
Watu wamejaa sumu[emoji23][emoji23]
FB_IMG_16575653866677690.jpg
 
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?![emoji38]

11 - [emoji1110] Bernard Morrison
10 - [emoji1059] Stephan Aziz Ki
09 - [emoji1078] Fiston Mayele
08 - [emoji1254] Khalid Aucho
07 - [emoji1268] Razarus Kambole
06 - [emoji1060] Gael Bigirimana
05 - [emoji1241] Mwamnyeto
04 - [emoji1078] Yannick Bangala
03 - [emoji1078] Lomalisa
02 - [emoji1078] Djuma Shabani
01 - [emoji1159] Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal [emoji38]

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Kule kimataifa kina SOPU wanakaa benchi sasa jidanganyeni mna team na beki zenu zile za kuunga unga nipo nimekaa pale mje mnikamate.
 
Kule kimataifa kina SOPU wanakaa benchi sasa jidanganyeni mna team na beki zenu zile za kuunga unga nipo nimekaa pale mje mnikamate.
Beki za kuunga unga
Zimeruhusu magoli 7
Zimeruhusu clean sheets kibao
Zimefungwa mechi chache.

Beki za nguvu
Zimeruhusu magoli 13 ya kubugizwa
Zimebugizwa mechi kibao mpka na kina kagera sugar..

Kakojoe ulale kijana
 
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?![emoji38]

11 - [emoji1110] Bernard Morrison
10 - [emoji1059] Stephan Aziz Ki
09 - [emoji1078] Fiston Mayele
08 - [emoji1254] Khalid Aucho
07 - [emoji1268] Razarus Kambole
06 - [emoji1060] Gael Bigirimana
05 - [emoji1241] Mwamnyeto
04 - [emoji1078] Yannick Bangala
03 - [emoji1078] Lomalisa
02 - [emoji1078] Djuma Shabani
01 - [emoji1159] Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal [emoji38]

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Yule Choko wenu KABWILI usimsahau kwenye Kikosi hiko[emoji2]
 
Ushamba na ulimbukeni ni kitu kibaya sana, yaani mtu unajitoa ufahamu kama umekunywa maji ya chooni vile. Yaani kama una watoto wakisoma huu Utopolo watatamani bora wangekuwa yatima.
[emoji23][emoji23] kwa hiyo hapo ushatamani ungekua yatima maana kwa ulicho andika sioni tofauti yako na hao watoto wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?![emoji38]

11 - [emoji1110] Bernard Morrison
10 - [emoji1059] Stephan Aziz Ki
09 - [emoji1078] Fiston Mayele
08 - [emoji1254] Khalid Aucho
07 - [emoji1268] Razarus Kambole
06 - [emoji1060] Gael Bigirimana
05 - [emoji1241] Mwamnyeto
04 - [emoji1078] Yannick Bangala
03 - [emoji1078] Lomalisa
02 - [emoji1078] Djuma Shabani
01 - [emoji1159] Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal [emoji38]

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Kwani kusajili wa wachezaji wa nje ya Tanzania, sheria/kanuni inasema mwisho wangapi..!? Kama Yanga wamevunja sheria/kanuni hiyo wataadhibiwa na wahusika, ila kama hakuna sheria/kanuni iliyovunjwa, BASI WEW NI VUVUZERA KAMA VUVUZERA WENGINE
 
Subirini mcheze mechi zenu mbili muanze kazi yenu ya kupokea wanaume airport ndo mlichobakisha tu.
Kwa usajili huu MZITO...unaamini yanga haichukui ubingwa wa CAF?
 
Kule kimataifa kina SOPU wanakaa benchi sasa jidanganyeni mna team na beki zenu zile za kuunga unga nipo nimekaa pale mje mnikamate.
Kwa hiki kikosi hata mamelodi ana kaa
 
Beki za kuunga unga
Zimeruhusu magoli 7
Zimeruhusu clean sheets kibao
Zimefungwa mechi chache.

Beki za nguvu
Zimeruhusu magoli 13 ya kubugizwa
Zimebugizwa mechi kibao mpka na kina kagera sugar..

Kakojoe ulale kijana
Bado makolo wanasajili wachezaji walioshuka daraja[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom