Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

Yanga: Usajili wao kama wanaenda kucheza UEFA, Serikali iingilie kati

Kwani kusajili wa wachezaji wa nje ya Tanzania, sheria/kanuni inasema mwisho wangapi..!? Kama Yanga wamevunja sheria/kanuni hiyo wataadhibiwa na wahusika, ila kama hakuna sheria/kanuni iliyovunjwa, BASI WEW NI VUVUZERA KAMA VUVUZERA WENGINE
Za chin chini naskia mwamedi kawakimbia. . Pigeni goti kwa GSM
 
Aliyefanikiwa kuchukua kombe la ligi na FA msimu huu? Sio kwamba yeye ndo alijifunza kutoka kwa aliyekuwa anayabeba misimu minne huko nyuma?
Kumbuka yanga Ina makombe 28 dhidi ya 22 ya makolo[emoji23][emoji23]
 
Hawa jamaa wanazofanya Sasa Ni sifa ...... Zimezidi viwango haiwezekani timu inasajili wachezaji proffesinal Sana kuzidi timu zote east Africa

Sisi Kama wadau wa michezo tunaomba Serikali inabidi iingilie kati, hivi hawa Yanga kwani wanaenda kucheza (UEFA) ?![emoji38]

11 - [emoji1110] Bernard Morrison
10 - [emoji1059] Stephan Aziz Ki
09 - [emoji1078] Fiston Mayele
08 - [emoji1254] Khalid Aucho
07 - [emoji1268] Razarus Kambole
06 - [emoji1060] Gael Bigirimana
05 - [emoji1241] Mwamnyeto
04 - [emoji1078] Yannick Bangala
03 - [emoji1078] Lomalisa
02 - [emoji1078] Djuma Shabani
01 - [emoji1159] Djigui Diarra

Sub ya Aziz Ki >>>> Feisal [emoji38]

Mi naona hakuna fair competition kwenye league
View attachment 2287169
Sawa
 

Attachments

  • 1db4b8780bcb4b37b0caa51b86468535.mp4
    1,010.4 KB
Mna kelele mkifika Klabu Bingwa hatua ya pili nje, mnahamia shirikisho nako baada ya mechi moja ya mtoano nje, halafu mnarudi bongo na makelele yenu, mmesharidhika kuishi kimaskini.
Bila shaka unawasema makolo
 
Bilinganya,Kambale na uyo dada yao Joyce hao wote ni maboksi,amna kitu hiyo ni mizigo nenda youtube ukawaone wanavyo rukaruka.
 
Katika ligi ya Bara, ni wachezaji nane tu wa kigeni wanaoruhusiwa kuhusika katika mechi moja, yaani wanaocheza na wanaokaa benchi. Wengine wanatakiwa wakae jukwaani au wabaki hotelini
Kuna shida?
 
Back
Top Bottom