Sijawahi kuona ratiba mbovu kama hii ya Tanzania... yani timu inacheza mechi 7 sijui 8 mfufulizo kwenye uwanja wa nyumbani! Hii ni aibu sana kwa Tanzania nzima na kwa kila mpenzi wa soka hapa nchini...
Kiuhalisia hawa jamaa huwa wanajibu au kutoa mawazo yao kwa emotions zaidi kuliko facts hasa kwenye issue ya mafanikio ya Yanga.
Kwahiyo usitegemee kuwa atakujibu hiyo na ukaridhika. Kwakuwa kila mtu ana uhuru wa mawazo na inabidi tuyaheshim wewe wavumilie tuu ndio watani wetu hatuna jinsi
Msimu wa mwaka juzi mlipocheza mechi saba mfululizo nyumbani hatukuona post za namna hii.Mkuu siwezi kuumia, kinachoniuma mimi ni kwanini alliance katembea mbeya, dar, mara n.k tena ni katim kalichokuja juzi TPL giant kama yanga anapendelewa WHY?? kweli Lesotho watuache haiwezekani AFCON tutaisikia tu
Mkuu Mbumbumbu ni sio tusi ni kigezo cha kuwa shabiki wa Simba.Matusi na kejeli za nini? Ndo tatizo la ushabiki wa tanzania bila matusi hauendi hujui impact ya magu?
Safi sana Ibrahim ajib25’ Mins | Yanga 2 - 0 Alliance FC
17’ Mins Makambo ( Yanga) Assist Ibrahim Ajib
24’ Mins Mrisho Ngasa (Yanga) Assist Ibrahim Ajib
Naona Ajibu wa msimu huu amezaliwa upya[emoji23][emoji23]90’ Mins | Yanga 3 - 0 Alliance FC
17’ Mins Makambo ( Yanga) Assist Ibrahim Ajib
24’ Mins Mrisho Ngasa (Yanga) Assist Ibrahim Ajib
86’ Mins Ibrahim Ajib (Yanga) Assist Deus Kaseke
KIENDACHO KWA MGANGA HAKIRUDITurudishieni Ajibu tuwape Niyonzima, Okwi na Kagere.
Simba kule hawajui mpira [emoji1] [emoji1] [emoji1]Naona Ajibu wa msimu huu amezaliwa upya[emoji23][emoji23]
Turudishieni Ajibu tuwape Niyonzima, Okwi na Kagere.