Mimi napendekeza kicheze kikosi C! Kile kilichocheza na KVZ. Maana kama waliweza kutoa sare na timu ya kauka nikuvae, na kupata sare tasa! Tukisema tuweke full mkoko, tutawapiga nyingi.
Mimi napendekeza kicheze kikosi C! Kile kilichocheza na KVZ. Maana kama waliweza kutoa sare na timu ya kauka nikuvae, na kupata sare tasa! Tukisema tuweke full mkoko, tutawapiga nyingi.