Yanga vs Kagera: huyu Nassoro Mwinchui aache kujiaibisha na uchawa kwa Yanga

Yanga vs Kagera: huyu Nassoro Mwinchui aache kujiaibisha na uchawa kwa Yanga

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Mwamuzi wa kati Mechi Kati ya Yanga na Kagera sugar Wana supa nkulukumbi anaonyesha waziwazi Kuwa yeye anachezesha Sio Kwa kufuata Sheria 17 za soka Bali mahaba binafsi dhidi ya Yanga na Sitaki kuamini kuwa ni issue ya bahasha toka Kwenye uongozi Bali uchawa wake.

Kuna matukio Zaidi ya matano ambayo ameamua Kwa kuwakandamiza Kagera sugar .... Kaua movement ya Kagera na Kona ambayo kibendera aliweka pembeni na kudai ni kona Lakini yeye ambaye alikuwa metre 50 toka Kwenye tukio akaona ni rafu amechezewa mchezaji wa Yanga... Ile penalty aliyokosa MVP WA MWAKA JANA imenistajabisha sana ... Mchezaji wa Yanga akiguswa tu kidogo refa yumo... Kagera wakipata faulo na kucheza advantage refa anaua advantage Ili Yanga wajipange... Hawa marefa SIO kuwa wanauwezo Mdogo Bali mapenzi binafsi yamezidi
 

Attachments

  • Screenshot_20250201-165830.jpg
    Screenshot_20250201-165830.jpg
    353.1 KB · Views: 3
Kama Azam TV atarudisha tuko nyuma kabla ya Kibwana kudondoka, utaona alisukumwa tena makusudi kabisa. Ila shida wengi mnaangalia kupitia replay inaonesha mwishoni ambapo Kibwana anapigana bambi anadondoka. Kuna angle ya camera ya nyuma ambapo kuna Azam waliitumia mara moja tu kufanya replay na ilionesha wazi kabisa Kibwana anavyosukumwa
 
Mwamuzi wa kati Mechi Kati ya Yanga na Kagera sugar Wana supa nkulukumbi anaonyesha waziwazi Kuwa yeye anachezesha Sio Kwa kufuata Sheria 17 za soka Bali mahaba binafsi dhidi ya Yanga na Sitaki kuamini kuwa ni issue ya bahasha toka Kwenye uongozi Bali uchawa wake.

Kuna matukio Zaidi ya matano ambayo ameamua Kwa kuwakandamiza Kagera sugar .... Kaua movement ya Kagera na Kona ambayo kibendera aliweka pembeni na kudai ni kona Lakini yeye ambaye alikuwa metre 50 toka Kwenye tukio akaona ni rafu amechezewa mchezaji wa Yanga... Ile penalty aliyokosa MVP WA MWAKA JANA imenistajabisha sana ... Mchezaji wa Yanga akiguswa tu kidogo refa yumo... Kagera wakipata faulo na kucheza advantage refa anaua advantage Ili Yanga wajipange... Hawa marefa SIO kuwa wanauwezo Mdogo Bali mapenzi binafsi yamezidi
Kwaiyo ulitakaje labda wewe,,kwani Kagera ndio timu ya kwanza kufungwa 4 na yanga? Ubora umeamua Wala usimsingizie mwamuzi,,nyie wenyewe mlishakula 5 alafu Leo umemuona refa,,au Mpira umeangalia peke yako
 
Mwamuzi wa kati Mechi Kati ya Yanga na Kagera sugar Wana supa nkulukumbi anaonyesha waziwazi Kuwa yeye anachezesha Sio Kwa kufuata Sheria 17 za soka Bali mahaba binafsi dhidi ya Yanga na Sitaki kuamini kuwa ni issue ya bahasha toka Kwenye uongozi Bali uchawa wake.

Kuna matukio Zaidi ya matano ambayo ameamua Kwa kuwakandamiza Kagera sugar .... Kaua movement ya Kagera na Kona ambayo kibendera aliweka pembeni na kudai ni kona Lakini yeye ambaye alikuwa metre 50 toka Kwenye tukio akaona ni rafu amechezewa mchezaji wa Yanga... Ile penalty aliyokosa MVP WA MWAKA JANA imenistajabisha sana ... Mchezaji wa Yanga akiguswa tu kidogo refa yumo... Kagera wakipata faulo na kucheza advantage refa anaua advantage Ili Yanga wajipange... Hawa marefa SIO kuwa wanauwezo Mdogo Bali mapenzi binafsi yamezidi
Toa hayo matukio ,Yanga hapati point 3
 
Kwaiyo ulitakaje labda wewe,,kwani Kagera ndio timu ya kwanza kufungwa 4 na yanga? Ubora umeamua Wala usimsingizie mwamuzi,,nyie wenyewe mlishakula 5 alafu Leo umemuona refa,,au Mpira umeangalia peke yako
Sema wakati Simba inamfunga Yanga goli tano ulikuwa uko Namanyele Kwa Bibi yako darasa la NNE ndomana unaona 5 za Juzi ni Yanga pekee amewahi mfunga Simba.... Kwa waamuzi Hawa mtaishia makundi sana mkienda kimataifa
 
Mwamuzi wa kati Mechi Kati ya Yanga na Kagera sugar Wana supa nkulukumbi anaonyesha waziwazi Kuwa yeye anachezesha Sio Kwa kufuata Sheria 17 za soka Bali mahaba binafsi dhidi ya Yanga na Sitaki kuamini kuwa ni issue ya bahasha toka Kwenye uongozi Bali uchawa wake.

Kuna matukio Zaidi ya matano ambayo ameamua Kwa kuwakandamiza Kagera sugar .... Kaua movement ya Kagera na Kona ambayo kibendera aliweka pembeni na kudai ni kona Lakini yeye ambaye alikuwa metre 50 toka Kwenye tukio akaona ni rafu amechezewa mchezaji wa Yanga... Ile penalty aliyokosa MVP WA MWAKA JANA imenistajabisha sana ... Mchezaji wa Yanga akiguswa tu kidogo refa yumo... Kagera wakipata faulo na kucheza advantage refa anaua advantage Ili Yanga wajipange... Hawa marefa SIO kuwa wanauwezo Mdogo Bali mapenzi binafsi yamezidi
Ungekuwa na point zaidi ungeongea ukweli mtupu. Ulipochanganya ukweli na uzushi ukaua point yako yote. Penati aliyokosa Aziz hata refa angekuwa Mwijaku angeamuru penati Kwa rafu aliyofanyiwa Mudathir.
 
Kama Azam TV atarudisha tuko nyuma kabla ya Kibwana kudondoka, utaona alisukumwa tena makusudi kabisa. Ila shida wengi mnaangalia kupitia replay inaonesha mwishoni ambapo Kibwana anapigana bambi anadondoka. Kuna angle ya camera ya nyuma ambapo kuna Azam waliitumia mara moja tu kufanya replay na ilionesha wazi kabisa Kibwana anavyosukumwa
Acha kupotosha maana hiki siyo kilichosababisha penati. Penati imetolewa si Kwa rafu dhidi ya Kibwana Bali ni rafu dhidi ya Mudathir.
 
Malalamiko yameshaanza! Kwamba Kagera kufungwa na Yanga ni ajabu? Mjiandae kisaikolojia muda wa kutupisha kileleni umewadia!
 
Mwamuzi wa kati Mechi Kati ya Yanga na Kagera sugar Wana supa nkulukumbi anaonyesha waziwazi Kuwa yeye anachezesha Sio Kwa kufuata Sheria 17 za soka Bali mahaba binafsi dhidi ya Yanga na Sitaki kuamini kuwa ni issue ya bahasha toka Kwenye uongozi Bali uchawa wake.

Kuna matukio Zaidi ya matano ambayo ameamua Kwa kuwakandamiza Kagera sugar .... Kaua movement ya Kagera na Kona ambayo kibendera aliweka pembeni na kudai ni kona Lakini yeye ambaye alikuwa metre 50 toka Kwenye tukio akaona ni rafu amechezewa mchezaji wa Yanga... Ile penalty aliyokosa MVP WA MWAKA JANA imenistajabisha sana ... Mchezaji wa Yanga akiguswa tu kidogo refa yumo... Kagera wakipata faulo na kucheza advantage refa anaua advantage Ili Yanga wajipange... Hawa marefa SIO kuwa wanauwezo Mdogo Bali mapenzi binafsi yamezidi
Ukitsks kujua Refa ni Yanga,Angalia mechi kati ya Ya Yanga na Tabora

Penalty ya kijinga anatoa
 
Yanga wamekuwa wakipata matokeo dhidi ya Simba kwa ajili ya mbeleko za marefa,marefa wanaibeba Yanga
 
Yanga wamekuwa wakipata matokeo dhidi ya Simba kwa ajili ya mbeleko za marefa,marefa wanaibeba Yanga
Kuna jinsi nyuma mwiko wanacheza mechi nje ya uwanja katika ligi ya ndani kitu kinachowashinda wakicheza kimataifa
 
Acha kupotosha maana hiki siyo kilichosababisha penati. Penati imetolewa si Kwa rafu dhidi ya Kibwana Bali ni rafu dhidi ya Mudathir.
Basi mpotoshaji sio mimi bali ni Azam media, kwasababu replay wanayoonesha tukio la penati wanaonesha kipande cha Kibwana kudondoshwa chini. Fuatilia
 
Kuna jinsi nyuma mwiko wanacheza mechi nje ya uwanja katika ligi ya ndani kitu kinachowashinda wakicheza kimataifa
Kimataifa wamecheza fainali ya CAFCC na kumfunga USMA nyumbani kwake,
Msimu uliofuata wamepangwa na Al Ahly na Belouizdad ambao ni timu zoefu zenye kufika mbali mashindano ya CAF lakini Yanga ikafuzu. Msimu wametoka kwa mistake za kubadilisha kocha muda mfupi kuelekea katika mashindano na kupeleka kufungwa nyumbani. Kimataifa yapi mnaongelea?
 
Sema wakati Simba inamfunga Yanga goli tano ulikuwa uko Namanyele Kwa Bibi yako darasa la NNE ndomana unaona 5 za Juzi ni Yanga pekee amewahi mfunga Simba.... Kwa waamuzi Hawa mtaishia makundi sana mkienda kimataifa
Na nyie mtaishia wapi na uwa mnaishia wapi? Kwaiyo mlitegemea kabisa Kagera amfunge yanga? Uyo Kagera kakutana na yanga mechi ngapi na alishinda ngapi? Misimu 4 Kagera ajawai kupata ata goli Moja mbele ya yanga Leo hii uje na hadithi zako za abunuwasi kwamba yanga amebebwa dhidi ya Kagera? Mpira uliangalia wewe peke yako? Waamuzi Hawa Hawa ndio wanaibeba Simba Kila siku kupata ushindi wa magumashi na mnakaa kimya au tukutajie mechi zote mlizokwapua ushindi wa mbeleko? Simba kapigwa na yanga mechi 4 mfululizo niambie ni lini Simba aliwai kumfunga yanga mechi 4 mfululizo? Ukipigwa wewe ni sawa wakipigwa wengine unatoa milio!!
 
Yanga wamekuwa wakipata matokeo dhidi ya Simba kwa ajili ya mbeleko za marefa,marefa wanaibeba Yanga
Mechi 4 mfululizo unapigwa tu zote hizo ni mbeleko za marefa? Muwe mnajishtukia muda mwingine kujiaibisha sio poa!
 
Back
Top Bottom