Yanga vs Kagera: huyu Nassoro Mwinchui aache kujiaibisha na uchawa kwa Yanga

Na tatu malogo?
 
Kama vipi mechi zijazo achezeshe Tatu Malogo.
 
Kuna jinsi nyuma mwiko wanacheza mechi nje ya uwanja katika ligi ya ndani kitu kinachowashinda wakicheza kimataifa
Ni kweli hawa wanacheza mechi nje ya uwanja,mara ya mwisho tulijifunga goli 1,lakini tukanyimwa penati 2 za wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…