Aeronautical
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 217
- 396
Ligi ya kwao ya Angola ilisimama kwa muda wa miezi 6 ivo inahitaji mda ili awe fit na leo ataingia kutokea sub aendelee kua fit na michezo ijayoYule dogo white ( Carlinho) mlimsajili awe anakaa benchi tu? Previous match alibaki Sub mpaka game inaisha hajacheza na leo tena anabaki sub sasa itajulikana vipi kama nae ni mkali au kiazi tu
Kumekucha mkuu, usiwe mbali na TV yako leo ulione samba la ukweli.[SUB]Kumekucha [/SUB]
Game saa ngapi?
Kiongozi kuna mtu amekaa kwenye seat ambayo sio yake kwenye msimamo wa ligi hivyo hatuna budi kumtoa.tusubir tuone kama watafikia point 4,2 au kubakia na hiyo moja.
Yule dogo white ( Carlinho) mlimsajili awe anakaa benchi tu? Previous match alibaki Sub mpaka game inaisha hajacheza na leo tena anabaki sub sasa itajulikana vipi kama nae ni mkali au kiazi tu
Vipi mugalu?!Yule dogo white ( Carlinho) mlimsajili awe anakaa benchi tu? Previous match alibaki Sub mpaka game inaisha hajacheza na leo tena anabaki sub sasa itajulikana vipi kama nae ni mkali au kiazi tu
Mugalu ni Yikpe asiye na rastaVipi mugalu?!
Kweli we kilaza wa football. Yaan ukishinda leo ndio uwe ju? Kwel wewe NyaniKiongozi kuna mtu amekaa kwenye seat ambayo sio yake kwenye msimamo wa ligi hivyo hatuna budi kumtoa.
Sijui kwa nini kocha bado haoni combination ya Farid na Kisinda.Kumekucha mkuu, usiwe mbali na TV yako leo ulione samba la ukweli.
Unadhani nikimfunga Mbeya city kwa utofauti wa goli zaidi ya mbili nani atakua juu ya mwenzake kati ya Yanga na nyie mikiaKweli we kilaza wa football. Yaan ukishinda leo ndio uwe ju? Kwel wewe Nyani
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa mie kiukweli simkubali sana Kaseke na natamani winga awe Kisinda na Farid au Kisinda na Niyonzima ili Farid acheze number 10. Naona kocha msaidizi anambeba sana Kaseke nadhani labda alimfundisha toka Mbeya city na akampa na unahodhaSijui kwa nini kocha bado haoni combination ya Farid na Kisinda.
Hii ndiyo shida ya kubebana kama hili lina ukweli ndani yake.Ni kweli kabisa mie kiukweli simkubali sana Kaseke na natamani winga awe Kisinda na Farid au Kisinda na Niyonzima ili Farid acheze number 10. Naona kocha msaidizi anambeba sana Kaseke nadhani labda alimfundisha toka Mbeya city na akampa na unahodha
Ni kweli kabisa Farid ana uwezo mkubwa sana kuliko Kaseke. Kaseke anaweza akacheza vizuri dakika 10 alafu dk 80 akaharibu au akacheza vizuri mechi 3 akaharibu 10Hii ndiyo shida ya kubebana kama hili lina ukweli ndani yake.
Lakini kuna siku makocha watakubali ushauri huu.
Hapo ndipo UNYANI wako ulipo. Azam ana points ngap? Dodoma mji ina points ngap?. YULE COACH WALA HAKUKOSEAUnadhani nikimfunga Mbeya city kwa utofauti wa goli zaidi ya mbili nani atakua juu ya mwenzake kati ya Yanga na nyie mikia