Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Hapa tutapeana updates za mechi ya yanga Na Mo Bejaia.
Updates:
DK 1: Mo wanafanya shambulizi la kushtukiza ktk lango la yanga lakini halina madhara.
DK. 3: Yanga 1 (Tambwe anawaandikia yanga goli la kwanza baada ya faulo iliyopigwa Na Juma Abdul.
DK. 18: Andrew Vincent anatoka nafasi yake inachukuliwa Na Kevin Yondan baada ya kuumia
DK. 44: Yanga wanakosa goli la wazi baada ya faulo ya kamusoko kuokolewa Na mabeki wa MO
DK. 45: Chirwa anakosa goli la wazi baada ya kubaki yeye na golikipa tu.
DK. 2 za nyongeza
HT: Yanga 1 - 0 Mo Bejaia
Kipindi cha pili kinaanza kwa yanga kufanya mabadiliko, anatoka Juma Abdul Na anaingia Said Juma Makapu.
DK. 48: Mo wanakosa goli la wazi kabisa, mshambuliaji alibaki Na kipa lakini kashindwa kufunga
DK. 53: yanga wanapata faulo jirani Na lango la Mo Na inapigwa Na Kamusoko lakini inakuwa haina madhara.
DK. 57: Dida kaumia Na mpira umesimama akifanyiwa matibabu.
DK. 59: Yanga wanatengeneza nafasi Na Msuva anakosa goli yeye Na kipa
DK. 61: Mo wanafanya shambulizi ktk lango la yanga lakini linakuwa halina madhara
DK. 62: Yanga wanatengeneza nafasi lakini Msuva anakosa nafasi ya kufunga kwa kupaisha mpira juu.
DK. 65: Kaseke anatolewa Na nafasi yake inachukuliwa Na Juma Mahadhi
DK. 68: yanga wanakosa tena nafasi ya wazi ya kufunga
DK. 77: Msuva anakosa goli la wazi
DK. 87: Chirwa anakosa goli la wazi kabisa
Dakika 5 za nyongeza baada ya Dakika 90 za kawaida kuisha.!
DK. 90+1: Mo wanafanya shambulizi ktk lango la yanga lakini wanakosa
FT: Yanga 1 - 0 MO Bejaia