nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Hata mechi kama hii washambuliaji washindwe kuongeza idadi ya magoli na viungo idadi ya assist itakuwa uduwanzi,,,kipa kama lile unalipa hata simu ya tecno tu linafungisha magoli ya kiduwanziWanamalizia tu mechi
lugha ya kubet hapo yanga ume bet vipi kwamba wanafunga goal nyingi zaidi ya moja au?
Magoli yazidi matanolugha ya kubet hapo yanga ume bet vipi kwamba wanafunga goal nyingi zaidi ya moja au?
hahahahaha du ila kwa keeper yule inawewezekana mimi ndo najifunza betting bwasheeee jana nimeliwa buku na bet pawa sasa hivi hapa nimeweka tshs 100/= nimeshusha mkeka nimechanganaya na tennis na basketball unasoma 70,000 ngoja nisubiri miujizaMagoli yazidi matano
Wakati wenzako wanatafuta namna ya kuacha kubeti wewe ndio unaingia kweli kupanga ni kuchagua, Karibu kwenye maisha ya kuishi Kwa matumainihahahahaha du ila kwa keeper yule inawewezekana mimi ndo najifunza betting bwasheeee jana nimeliwa buku na bet pawa sasa hivi hapa nimeweka tshs 100/= nimeshusha mkeka nimechanganaya na tennis na basketball unasoma 70,000 ngoja nisubiri miujiza
hahahahaha sasa ndugu yangu kila siku natumia atleast 5000 kwenye pombe si bora buku iwe ya kubetia hiyo buku 4 iwe ya konyagi ndogo?Wakati wenzako wanatafuta namna ya kuacha kubeti wewe ndio unaingia kweli kupanga ni kuchagua, Karibu kwenye maisha ya kuishi Kwa matumaini
Sisi kama serikali tunahitaji Sana mchango wako kwenye makato ya Kodi Kwa maendeleo ya Nchi yetu hivo napenda kuchukua nafasi hii kukukaribisha Rasmi kwenye Ulevi usiolewesha
Hahahaha, eti konyagi ndogohahahahaha sasa ndugu yangu kila siku natumia atleast 5000 kwenye pombe si bora buku iwe ya kubetia hiyo buku 4 iwe ya konyagi ndogo?
jana kama siyo draw ya ufaransa mkeka ulikuwa ni mamilioni ya pesa nachanganya na vi teams vya daraja la 4 ligi za ajabuajabu nachanganya na basketball na tennis leo nimeweka 100 natarajia 70 k
uzi unazungumzia goal la week 3 zililizopita huko shinyanga ,play video uone leo kakaza baada ya kusoma huu uzi wanguHajafungwa magoli ya ajabu, kipa yeyote angeweza kufungwa goli hizo!!
hahahahaha aisee this is funny stuffs leo karia n aTff watakoma lawama za wana utopolo...HATUCHEEZII TAREHE 3Mwadui bhana
hahahahaha aiseee ina maana jumanne tungetaza ubingwa mbele ya mbeya city anyway tutangaza tarehe 3 nataka sana azam awe wa piliKauza tena halafu anajiliza