nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Keeper la zamani la yanga under 20 ama kwa hakika ni mchezaji ambaye kajiwekea historia mbovu kwa goli la ajabu alilohakikisha linaingia golini.
Huyu hastahili tena kuonekana ligi kuu aende huko daraja la kwanza na apotelee kabisa atokomee.
Leo usiku yuko golini vs yanga natarajia mauzauza mengi toka kwake na leo kina sarpong wakishindwa kufunga hat trick nitashangaa sana
Huyu hastahili tena kuonekana ligi kuu aende huko daraja la kwanza na apotelee kabisa atokomee.
Leo usiku yuko golini vs yanga natarajia mauzauza mengi toka kwake na leo kina sarpong wakishindwa kufunga hat trick nitashangaa sana