mbati nenga
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 267
- 344
Yanga wanabebwa kwa kasi ya 4G
Yanga 0 wao 1 ova
Mkuu wamenikera sana hawa wajelajela nilitak wajipigie hata hata goal3 leo maan ndala fc walikuwa wanakata viuno tu uwanjaniMkuu habari yako? Vipi bado Ova au imeshakuwa Sperm?
Marefarii na ma lines man wa kibongo mbona wazinguaji? Sasa offside inatoka wapi wakati mchezaji aliyetoa pasi na mfungaji walikuwa wamebaki na kipa pekee,
Mkuu wamenikera sana hawa wajelajela nilitak wajipigie hata hata goal3 leo maan ndala fc walikuwa wanakata viuno tu uwanjani
Good Good, Good saana!Mpira umekwishaaaaaaaaaaaaaaaa
Yanga kakamatiwa chini nyumbani.
Yanga 1-Prison 1
Prison yapata point moja kwa Yanga kwa mbinde.Prisons yateseka kutoa safe na Yanga!Yanga yatoka kiume,yakataa kufungwa!Yasawazisha kwa bao saafi kabisa.Maaelezo zaidi ingia safiidauladar.com
Hyo mbinde ni upande wa yanga maana walicheza wengi kuliko wenzao.Prison yapata point moja kwa Yanga kwa mbinde.