UPDATES
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mwanzo wa mchezo na Yanga inaanza kwa kushambulia lango la Rivers, hata hivyo shuti linapaa juuu.
03' Rivers wanafika lango la Yanga, Adeyum katika jitihada za kuokoa anagongana kichwa na mchezaji wa Rivers
05' Ukwa Nelson anaingia lango la Yanga kwa kuwapunguza msururu wa mabeki, juhudi zake zinaishia hewani.
19' Almanusura Adeyum aweke goli kupitia mpira wa adhabu ndogo kuelekea lango la Rivers
20' Makambo anapiga shuti kali la chini na kutoka nje kidogo ya lango la Rivers
24' Makambo anataka goli kama alilowaweka Zanako lakini inakataa
28' Yakuba anashindwa kuandika bao la kwanza baada ya mpira kuponyoka mlinda mlango kwa kupiga kichwa fyongo
41' Rivers wanaingia kwenye lango la Yanga, shuti linatoka nje ya lango
45+2' Mpira unakwenda mapumziko
51' ⚽Moses anaiwekea Rivers bao la kwanza, Yanga 0-1 Rivers
64' Feisal Salum anapata nafasi ya kusawazisha baada ya Makambo kuuruka mpira lakini anapaisha juuu
85' Mlinda mlango anagagaa chini baada ya shuti kali kumpiga usoni katika harakati za kuokoa
90+4' Yanga wamelala nyumbani kwa kutandikwa 0-1 na Rivers United uwanja wa Mkapa Dar es Salaam, Tanzania. Wanatarajia kucheza mchezo wa marudiano nchini Nigeria.
Ili wasonge mbele wanahitaji ushindi nchini Nigeria au sare yoyote ya magoli inayozidi 1-1
=========
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) leo watashuka kwenye dimba la uwanja wa Benjamin Mkapa kupambana na timu ya Rivers United katika mechi ya kwanza ya hatua ya awali ya mashindano hayo
Baada ya mechi hii, timu hizo zitarudiana tarehe 19/09/2021 ili kuweza kupata mshindi atakayefuzu kwenye hatua inayofuata
Ungana nami nikikuletea kinachojiri katika mpambano huo
#RetunsOfChampions
Kikosi Cha Yanga
1. Diarra
2. Kibwana
3. Adeyum
4. Job
5. Mwamnyeto
6. Mukoko
7. Jesus
8. Mauya
9. Makambo
10. Feisal
11. Yacouba
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mwanzo wa mchezo na Yanga inaanza kwa kushambulia lango la Rivers, hata hivyo shuti linapaa juuu.
03' Rivers wanafika lango la Yanga, Adeyum katika jitihada za kuokoa anagongana kichwa na mchezaji wa Rivers
05' Ukwa Nelson anaingia lango la Yanga kwa kuwapunguza msururu wa mabeki, juhudi zake zinaishia hewani.
19' Almanusura Adeyum aweke goli kupitia mpira wa adhabu ndogo kuelekea lango la Rivers
20' Makambo anapiga shuti kali la chini na kutoka nje kidogo ya lango la Rivers
24' Makambo anataka goli kama alilowaweka Zanako lakini inakataa
28' Yakuba anashindwa kuandika bao la kwanza baada ya mpira kuponyoka mlinda mlango kwa kupiga kichwa fyongo
41' Rivers wanaingia kwenye lango la Yanga, shuti linatoka nje ya lango
45+2' Mpira unakwenda mapumziko
51' ⚽Moses anaiwekea Rivers bao la kwanza, Yanga 0-1 Rivers
64' Feisal Salum anapata nafasi ya kusawazisha baada ya Makambo kuuruka mpira lakini anapaisha juuu
85' Mlinda mlango anagagaa chini baada ya shuti kali kumpiga usoni katika harakati za kuokoa
90+4' Yanga wamelala nyumbani kwa kutandikwa 0-1 na Rivers United uwanja wa Mkapa Dar es Salaam, Tanzania. Wanatarajia kucheza mchezo wa marudiano nchini Nigeria.
Ili wasonge mbele wanahitaji ushindi nchini Nigeria au sare yoyote ya magoli inayozidi 1-1
=========
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) leo watashuka kwenye dimba la uwanja wa Benjamin Mkapa kupambana na timu ya Rivers United katika mechi ya kwanza ya hatua ya awali ya mashindano hayo
Baada ya mechi hii, timu hizo zitarudiana tarehe 19/09/2021 ili kuweza kupata mshindi atakayefuzu kwenye hatua inayofuata
Ungana nami nikikuletea kinachojiri katika mpambano huo
#RetunsOfChampions
Kikosi Cha Yanga
1. Diarra
2. Kibwana
3. Adeyum
4. Job
5. Mwamnyeto
6. Mukoko
7. Jesus
8. Mauya
9. Makambo
10. Feisal
11. Yacouba