Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Naweza kuwa sielewi Mpira, lakini kwa uzoefu wangu wa kujenga nyumba, ninajua anachokifanya huyo kocha wa yanga hakina mahusiano kabisa na maswala ya ujenzi wa timu.Mpira unaujua kweli wewe? Unajua ni nini maana ya kujenga timu? Je unajua ni kwanini kasema anajenga tumu?