Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Kaseke na Yacouba nimewaongelea kama mfano wa partnership katika mchezo wa mpira wa miguu.well, Inamaana mpaka msimu jana unaisha wachezaji waliokuwa na partnership ni Kaseke na Yocouba tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaseke na Yacouba nimewaongelea kama mfano wa partnership katika mchezo wa mpira wa miguu.well, Inamaana mpaka msimu jana unaisha wachezaji waliokuwa na partnership ni Kaseke na Yocouba tu?
Wewe ndio unalaana ya MAMA JNaona makolo yamejaa na hizi ndio akili zao wamelaaniwa
Kuwa mzalendo mkuu😜Friends of Rivers ndio tunawasili, tunaketi wapi jamaniiiii?
Yanga 1-3 RiverInajenga wala hainunui timu. Kwanini nimesema anajenga? Ni kwasababu kuna maingizo ya wachezaji wapya wengi zaidi ya watano, hawa wachezaji wapya na wa zamani waliosalia kwenye kikosi wamekaa pamoja kwa muda mfupi sana mpaka sasa hivyo bado hakuna maelewano baina ya wachezaji wapya na wa zamani hivyo hakuna muunganiko wa moja kwa moja baina yao. Kwenye mpira kuna kitu kinaitwa mfumo. Kocha anajua naingia na mfumo fulani ambao unaongozwa na mchezaji fulani. Huu mfumo ukigoma na switch mfumo mwingine kwa kumtoa fulani na kumeingiza fulani ili asaidiane na fulani na fulani asogee sehemu fulani.
Makocha wanatengeneza mifumo zaidi miwili kulingana na wachezaji walionao na utengeneze mifumo ni lazima umjue sifa na tabia za kila mchezaji ili ujue nani na nani wanaweza kutengeneza partnership. Msimu uliopita Yanga ilivyokuwa chini ya Kaze mwanzoni uliona hakukuwa na watu walielewana pamoja kwenye ushambuliaji lakini siku zilivyozidi kwenda kukatengeneza partnership kati ya Kaseke na Yacouba. Ndivyo mpira ulivyo ni lazima kuwe na muunganiko unaanzia kwenye wakabaji, viungo mpaka washambuliaji.