Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupewe nafasiFriends of Rivers ndio tunawasili, tunaketi wapi jamaniiiii?
Ushindi mwembamba huoRivers tunataka magoli mawili tu
Kuwa mzalendo mkuu[emoji12]
Sawa ila msije kuukana huu uzi baada ya kipigoUzalendo gani uo?! Piga misukule io
Walikuwa wanawapigia kelele Simba last season leo yamewakuta, Yanga kuanzia nyumbani ni underdog.Duh. Wachezaji watano wa Rivers wamekutwa na Covid -19.
Hii mbinu ya vipimo vya Covid inaweza ikalipizwa na Rivers kule kwao.
adeyum atafunga goli la kichwa kwenye kona, Yanga wanashinda 1 bila.UPDATES
00' Kipenga kinapulizwa kuashiria mwanzo wa mchezo na Yanga inaanza kwa kushambulia lango la Rivers, hata hivyo shuti linapaa juuu.
03' Rivers wanafika lango la Yanga, Adeyum katika jitihada za kuokoa anagongana kichwa na mchezaji wa Rivers
05' Ukwa Nelson anaingia lango la Yanga kwa kuwapunguza msururu wa mabeki, juhudi zake zinaishia hewani.
=========
View attachment 1934361
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Dar es Salaam Young Africans (Yanga) leo watashuka kwenye dimba la uwanja wa Benjamin Mkapa kupambana na timu ya Rivers United katika mechi ya kwanza ya hatua ya awali ya mashindano hayo
Baada ya mechi hii, timu hizo zitarudiana tarehe 19/09/2021 ili kuweza kupata mshindi atakayefuzu kwenye hatua inayofuata
Ungana nami nikikuletea kinachojiri katika mpambano huo
#RetunsOfChampions
Kikosi Cha Yanga
1. Diarra
2. Kibwana
3. Adeyum
4. Job
5. Mwamnyeto
6. Mukoko
7. Jesus
8. Mauya
9. Makambo
10. Feisal
11. Yacouba
Sawa ila msije kuukana huu uzi baada ya kipigo
Yanga wahuni sanaDuh. Wachezaji watano wa Rivers wamekutwa na Covid -19.
Hii mbinu ya vipimo vya Covid inaweza ikalipizwa na Rivers kule kwao.
Hatuwezi kufungwa wala kudroo mkuu, huo mto(river) unapigwa tuNa wewe usije kuukimbia huu izi matokeo yakowa droo au kufungwa
Hatuwezi kufungwa wala kudroo mkuu, huo mto(river) unapigwa tu
Yes babe! Wewe ni Simba? If yes nakuacha😀Babe kumbe we n yangaa