Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAF wanajua Yanga ni uchochoro ndio maana wameanzia nyumbani.Rivers wana combination nzuri sana mpaka saizi wameweza kutawala mpira kwa kiwango cha juu sana unaweza dhani yanga ndo yuko ugenini
sana tenaYanga wana hali ngumu ssna
HahahaYanga wana hali ngumu ssna
Utopolo walikuwa wanaona mnyama anashinda wakajua ni rahisi tu kitu watachofanywa leo awataaminiUto bora wangeomba kucheza shirikisho pamoja akina azam na biashara, level ya klabu bingwa bado hawajafika wataenda kudhalilishwa kule.
Achana na sisi! Tumekimbia wapi😀Kudadeki Rivers wanalipiga jingi mpaka misukule wameukimbia huu uzi
HahahahaAchana na sisi! Tumekimbia wapi[emoji3]
Wazee wa Congo Vs vijana wa Nigeria.Nasikia saivi Ni Congo Vs Nigeria
Yacouba nae anakuwaga na wenge sijuiAhahhaah yacoub anakosa goli la kichwa wazi kbs..bocco au mugalu hakuachi kbs pale
wamekimbia wote wamemuacha financial services pekeyake.Hivi uto wako wapi au wanasubiri wapate goal, utooooo, nyie utoooooo njooni tujadili mpira, njooni mtupe update jamani, utoooooooo