Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Ukuta wa Yanga unachambuliwa kama mchele, weka Yanick Bangala mtu sana yuleee acheni kumweka benchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wapuuzi kweli ase, unakosaje paleJamaa wanakisa goli la wazi kabisa asee[emoji848]
Hapa bado nashangaaa hata mimiAaakkhhhhh
Wamekosaje pale?
MAMA J FC hahahaJamaa wanacheza Kama wapo kwao..yanga mama J amewatia sn gundu Ile siku[emoji1787]
Misumali,msiwalaumu hawa watoto tangia wamefika hawajalala.vibwengo vya kwenye jezi viliwaloga usiku kucha.Moses mpumbabu sana wewe unakosaje hapo
HahahahaMisumali,msiwalaumu hawa watoto tangia wamefika hawajalala.vibwengo vya kwenye jezi viliwaloga usiku kucha.
Mkuu Kwa kiwango hiki mnachokionyesha leo,ugenini mnaenda Kula goli zaidi ya 3..jamaa wanatawala gemu Kama wapo kwaoNatamani kumuona Khalid Aucho nae kwenye kiungo. Naona Zawadi Mauya na mwenzake Mukoko Tonombe wanautafuta tu mpira kwa tochi!
Nahodha wa timu pinzani ni sayari nyingine kabisa! I wish Yanick Bangala nae ataingia kuimarisha kiungo.
Feisal amrpotezwa kabisa. Huyu anawahujumu yanga. Atolewe tu