OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
uto wametepeta,second half tunamaliza kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi kabisa. Wachezaji wetu wamezoea kucheza na kelele za mashabiki. Leo Fei Toto siyo yule wa siku zote! Mukoko tangu alipo tuchomesha kwenye fainali ya Kombe la Shirikisho, ameendelea kuwa yule yule!Mkuu Kwa kiwango hiki mnachokionyesha leo,ugenini mnaenda Kula goli zaidi ya 3..jamaa wanatawala gemu Kama wapo kwao
Haji alikuwa anabebwa na ubora wa Simba.Hivi Sukule la Taifa, limanara halijapata namba kucheza, naona silisikii kabsa, namsikia tu moloko, na makambo
Sema yule le kaptainiiiii mtu na nusuuto wametepeta,second half tunamaliza kazi
acheni ufara hiombeeni timu inayowakilisha taifa lenuHaji alikuwa anabebwa na ubora wa Simba.
Hii Yanga inaenda kutolewa round ya awali na mdomo wa Haji utakosa mvuto.
Haji ni mzee wa kulazimisha. Atahamia kwenye ligi ya bara na historia za vilabu 😂😂😂Haji alikuwa anabebwa na ubora wa Simba.
Hii Yanga inaenda kutolewa round ya awali na mdomo wa Haji utakosa mvuto.
FixedAjabu ya game la leo humu JF......wanaocheza ni Vyura SC but wanao comment zaidi ni Friends of Rivers United !
Iombee wewe inatoshaacheni ufara hiombeeni timu inayowakilisha taifa lenu
Friends of Rivers = Mbumbumbu SCFixed