Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Kweli Tutawalipiza Kwa Mkapa, Tunaenda Na Do or Die Season 4.wako kwao ngoja waje kwa mkapa utaona show,😂
kumbe kikundi tu cha masela,😂😂😂😂😂😂😂Hawa jamaa zetu kama togwa la ngomani tu kila mtu atajichotea tu mwaka huu,, nilisema humu hawa jamaa ukiwaona kwenye press zao unaweza sema timu ndo hii,, kumbe kikundi tu cha masela,, mi mwenzenu hata sishangai matokeo haya
Nimeliona hili pia... Soft slide yanga wanalala chini refa anapuliza kipengaRefa msomali anawatafutia goli
Hahahaaaaa,Simba inajisikia aibu sana kushiriki ligi moja na hawa viti maalumuTunasubiri kocha wenu Professor anayemzidi Gomes elimu akae kipa na Manara aingie mbele msawazishe na kushinda siyo bla bla wakati Gomes ndo kawabeba
Uchawi upo refa amalize tu mpiraNini kinanuka kwa mama kambeleketeeeeeee aaaaaaaah tumekosana counter attack ya waziii [emoji25][emoji25][emoji25][emoji25][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Kacheza au kaleta gundu tu?Manara afukuzwe
HoiiiiiiiiiiiView attachment 1935016
utopoloooooooo
Hicho kiporo cha NigeriaHadi sasa Rivers tungetakiwa tuongoze kwa 3...
Kuchomoa??? Aah wapi labda wachomoe ule mwili kule nyumaEbu jitahidini bana na nyie utopolo hivi hamuoni aibu kuaibishwa kila siku mbele ya watoto ebu chomoeni goli hilo
Mkuu watu watazimia humu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Rivers wanafanya mabadiliko ,anayeingia ndo mbaya zaidi