Hi ndo tabu ya kubeba beba timu sijui tuwe wanne. Aheri tu hata tuwe tunaenda wenyewe kimataifa, au hata tupewe nafasi ya kuchagua timu za kwenda nazo.Yanga kama gari la kubebea maiti la kwanza kutangulia la mwisho kurudi😂😂
Utasikia kapata ajali ya gari🤣🤣🤣Manara tunakusubiria sasa mitandaoni
Studio ni kwamba Karia anahujumu Yanga kamleta yule uche anapiga chenga uwanja mzimakwako studio
Hawa ni wachezaji wazuri wanapochezea timu ndogo! Ila wakija kwenye timu wanaishia tu kuruka ruka uwanjani. The same to Waziri Junior, nk.Ivi Adeyum + Nchimbi =✓
Kwa Mkapa hatoki mtu ni kwa Mnyama FC, ila Atletico de Uto kama Pombe ya Ngomani tu, yoyote anaetaka anajipigia tu.Tunaenda Lipiza Kwa Mkapaa Kulalekiii Kwa Mkapa Hatoki Mtuuuu Kuna Mtu Nimemskia Etiii!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mungu Wangu Ahsante.