Ila Mimi naona Bora Yanga mtolewe mapema Tu mpelekwe shirikisho.. kule ndiyo saizi yenu,huku mngemwachia biashara FC
Usijali, Manara atafunga!!Makambo kakosa goli la wazi
Tuheshimiane! Wawakilishi wa Taifa ni mabingwa wa Tanzania SSC!! Yanga wamefika hapo kwa kubebwa na Simba!, ila hawabebeki!!acheni ufara hiombeeni timu inayowakilisha taifa lenu
Mkuu hebu ni fafanulie, ninavyojua anayetoka kwenye champion anaenda kucheza shirikisho isipokuwa wale watakaotolewa kwenye makundiWakitolewa na rivers hawaendi hata shirikisho
Inatakiwa afuzu kwenye duru ya pili ya mtoano ndo hapo akitolewa anapata nafasi ya kwenda ShirikishoMkuu hebu ni fafanulie ,ninavyojua anayetoka kwenye champion anaenda kucheza shirikisho isipokuwa wale watakaotolewa kwenye makundi
Hapo sawa mkuu nimekuelewa, kama ni hivyo hawa majamaa wana kazi nzitoInatakiwa afuzu kwenye duru ya pili ya mtoano ndo hapo akitolewa anapata nafasi ya kwenda Shirikisho
Aachane na wachezaji wa mafunguLabda mkuu ulikuwa unataka GSM afanye nini pale Yanga ili asionekane mpiga dili
Weka na za rivers mkuu.-Feisal Salum clear chance to score
-Yusuph Athuman one against one with goalkeeper
-Makambo two unlucky chances
-Zawadi Mauya poor mildified defending
-No threat movements for Ducapel Moloko
-Lack of clear penetration passes
-Lack of sure creative mildifieder
Football refer to a game of mistakes
One mistake, One goal
Unlucky day for Yanga
Let's go back champions
First leg is for them but second leg is for us with more goals
Heee yamekuwa hayo tena wajameniGSM atupishe tuendeshe wenyewe timu yetu, na Msola ukimaliza muda wako usirudi tena.
Aaa ule mwiko wao nyuma ndo unahamia mbele.?Mark my words "YANGA ANASONGA MBELE"
Mark my words "YANGA ANASONGA MBELE
Manara ITC yake bado haijafika ndio mana hakucgezeshwa[emoji3]Wadau nadhani Wote tunajua Mfadhili wetu Amemsajili Mchezaji HAJI MANARA kwa Ajili ya kuimarisha Timu yetu kwenye Mashindano haya ya KIMATAIFA
Kufungwa leo LAWAMA ZOTE Apewe KOCHA kwa Kutomchezesha huku Akijua ni Mchezaji HATARI sana
Angalia Orodha ya Wachezaji aliowapanga Hata wale wa AKIBA HAYUPOView attachment 1935108
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mkuu hebu ni fafanulie, ninavyojua anayetoka kwenye champion anaenda kucheza shirikisho isipokuwa wale watakaotolewa kwenye makundi
Upo sahihi nimekulewa vyema kwa huo mfano wa ud songo na Platnums,maana Platnums alipottolewa na Simba alienda shirikishoSawa kaka kwenye hatua ya awali kuna game ya kwanza kabisa ambayo team inacheza ikifungwa inatoka moja kwa moja mfano ni Simba jinsi alivyotolewa na UD Songo alipotolewa alitoka moja kwa moja
Alafu kuna hatua inayofata baada ya hapo ambayo ni kama match ya pili baada ya ile ya awali,,, namaanisha game inayoipeleka team makundi ,,,hatua ambayo simba yupo saiz au yanga atakuwepo kama akifanikiwa kuwatoa rivers ,,, Hatua hiii ya pili team ya Club bingwa ikifungwa inapata nafasi ya kucheza shirikisho ni kama kilichomkuta platinum baada ya kutolewa na Simba kumbuka Simba alicheza na Platinum baada ya game ya awali dhidi ya plateau ya nigeria kama unahitaji maelezo zaid nipo tayari kujazia