Upo sahihi nimekulewa vyema kwa huo mfano wa ud songo na Platnums,maana Platnums alipottolewa na Simba alienda shirikisho
Eti eehHatuwezi kufungwa wala kudroo mkuu, huo mto(river) unapigwa tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅😅watu wakuda[emoji23][emoji23]
ndo nini sasa kufufua uzi leo baada ya Simba kumrarua mtu!?
ni aFiLikADah Yanga afirika
Aka utopoloni aFiLikA
Tuna ya zungumzia ya leo, kaka halafu kwanza umeiona namba ya simu ya kocha Pablo ZBC2 wameipitisha au tulia hapo hapo wataipitisha tena kocha anaomba mumsaidie kufanya sub wahi tuma meseji yako kabla mpira haujaisha.Mtu alilowa nyumbani akatia gundu uwanja wa mkapa