Yanga vs Simba April 18 2010

he he shughuli ipo ila najua mnyama lazima ashinde leo
 
Update wazee...ila kandambili leo utajua kilichomtowa kanga manyowa....
 
heeee sijui nini kinaendelea mboni kimya haki ya Mungu sina amani moyoni
 
Simba wanaongoza kwa goli mbili, Yanga wana goli moja mpaka sasa. Dakika ya 14 kipindi cha pili inakwenda.

Wisdom Ndlovu kapewa kadi nyekundu
 
Simba 2-1 Yanga goli la pili la simba limefungwa na Mgosi dakika ya 58 kipindi cha pili
 
Ngoja nikajipongeze kwa kumchapa yebo yebo......................Ndovu bariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiidi!
 
Kuna uwezekano mkubwa Simba kuongeza goli la tatu; Ila wachezaji wetu inawabidi kulinda hili goli maana na Yanga nao wamejipanga kweli kweli .
 
Unakosaje raha tena wakati unaseme lazima mnyama ashinde?, ombea hiyo sare
he he droo ya wapi kanda mbili mtalia leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…