Mkuu usimpongeze mtu.wakuu mechi haijaisha tu?Hongera simba sc...sisi ndo wenye kuleta heshima hapa Tanzania tu.Watani poleni kwa kipigo..tumezingatia itifaki ya mwaka 2010 tu!
Yanga 3 - Simba 3 :angry:
Jerry Tegete kafunga
Yanga 3 - Simba 3 :angry:
Jerry Tegete kafunga
Na Kombe lipo uwanjani leo leo hahahahaSimba wanapata bao la 4
Simba 4 Yanga 3
Emmanuel Okwi tena
Dakika ya 90
Simba wanapata bao la 4
Simba 4 Yanga 3
Emmanuel Okwi tena
Dakika ya 90
Ndio maana kanambili walimuzuia kukipiga Uswidi kwa kuwa ameshika mikoba ya kamati ya ufundi.
du, likirudi na hili basi itakuwa historia ya ajabu sana, yaani tutangulie mara nne na warudishe zote?