Yanga Vs Simba Special Thread

Please edit hisa za MO ni 49% na sio 51%
 
SIMBA 4-1 YANGA.
hiki kitakuwa kipigo cha mbwa koko ili msituzoee
 
Huuu naona ni uzi wa Malalamiko FC kuleta masikhara, anyway ngoja tumsubir Ghazwat aaanzishe uzi spesheli wa Wanamsimbazi kujimwambafai na Mechi ya Machi 8
 
Hivi najiuliza nakosa majibu, Yanga wanajiamini kwa kitu gani kukaa hata mitandaoni, achilia mbali kuingia uwanjani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…