Andika wosia kabisa mkuu, tutawschapa hadi mchakaeHivi najiuliza nakosa majibu, Yanga wanajiamini kwa kitu gani kukaa hata mitandaoni, achilia mbali kuingia uwanjani?
sijaandika, naona mganga wenu amewatabiria ushindi ili hali kikosi chenu ni kibovu.Wosia umeandika?
tusubiri tuone hiyo tar. 8
Nakwambia na nasisitiza kaandike wosia kabisa, maana utafanywa kama jina lakosijaandika, naona mganga wenu amewatabiria ushindi ili hali kikosi chenu ni kibovu.
kwanza unapata wapi nguvu ya kutetea hiyo timu yenu mbovu dhidi ya mnyama?
yanga walikuwa wamezoea kujaa kwenye nyuzi zinazohusu game za Simba lakini kwenye game zao walikuwa wanakimbia ila sasa hawana ujanja wakimbie na hii
umeshaona wanaume wanatengeneza sare kwa ajili ya sherehe nyinyi ndio mtaolewa siku hiyo na sare zenu mlizotengenezaHatukimbii na tunakugonga tu, we tulia nyie mmesema MNA jambo lenu, na sisi tunasema tunalo tukio muhimu tarehe 08, "TUNAOA" Karibuni nyoote mshuhudie Harusi ya kukata na shoka.
Karibu Biriani mkuu. Tunaoa na mwali kajitunza sana, maana Bikra bado anayo.umeshaona wanaume wanatengeneza sare kwa ajili ya sherehe nyinyi ndio mtaolewa siku hiyo na sare zenu mlizotengeneza
Atakayefungwa ndio bi harusi baada ya mechi uje na shela zenuKaribu Biriani mkuu. Tunaoa na mwali kajitunza sana, maana Bikra bado anayo.
Wewe Mikia tunakujua, Yanga hakuna mashabiki minafiki kama wewe. Yanga mbele daima nyuma mwiko.Mimi ni shabiki nguli wa Yanga SC niache unafiki na ushabiki, sisi hatuna timu ya kuifunga Simba SC kwa sasa
FT yanga 1- 4 Simba
DuhMimi ni shabiki nguli wa Yanga SC niache unafiki na ushabiki, sisi hatuna timu ya kuifunga Simba SC kwa sasa
FT yanga 1- 4 Simba