Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe ndo Bure kabisa. Yanga imeanzishwa mwaka 1935 huyo karume alikuwa na influence Gani huku Tanganyika? Unaelewa maana ya muasisi kweli?Muasisi wa Yanga Mzee Karume ni mzinzibari hivyo Yanga kucheza Zanzibar ni kumuenzi , ni jambo zuri sana.
Yanga angalieni mchezaji striker mwenye uchu wa kufunga anaitwa LOKALE anacheza AFC Leopards ya Kenya. Huyu ni figher ana sifa za kucheza Yanga one day.
Karume ameiasisi vipi Yanga?Muasisi wa Yanga Mzee Karume ni mzinzibari hivyo Yanga kucheza Zanzibar ni kumuenzi , ni jambo zuri sana.
Yanga angalieni mchezaji striker mwenye uchu wa kufunga anaitwa LOKALE anacheza AFC Leopards ya Kenya. Huyu ni figher ana sifa za kucheza Yanga one day.
Uwanja wa Amani, sehemu ya kuchezea sio nzuri kabisa.
Uko sahihi, siku hizi ni mtindo wa uchawa tu, kuanzia viongozi mpaka taasisi zoteHakuna timu inayojua kujipendekeza duniani kama Yanga. Kitendo cha kupelekea mechi Zanzibar ni dalili zote za shobo na kujipendekeza kwa Wazenji.
Nasubiria mapovu, nipo mtaa wa Lindanda hapa napata gahawa
Influence ya AFRICAN ASSOCIATION.Yaani wewe ndo Bure kabisa. Yanga imeanzishwa mwaka 1935 huyo karume alikuwa na influence Gani huku Tanganyika? Unaelewa maana ya muasisi kweli?
Fuatilia Mpira ndugu. Nenda Jangwani pale watakupa majibu.Karume ameiasisi vipi Yanga?
Kuliko kunitaka nifunge safari kwenda Jangwani kutoka huku nilipo ambapo mimi na wewe hatujui ni wapi, kuna shida gani wewe ukijibu hapa kwa faida ya wengi tujue ni namna gani gani Karume alishiriki kwenye uasisi wa Klabu ya Yanga mwaka 1935, wakati uasisi wa Yanga uliendana na harakati za Uhuru wa Tanganyika na ndiyo chanzo cha wengine kujitenga ndani na Yanga na kuanzisha timu yao ya Queens, ambayo baadaye ikaitwa Sunderland kabla ya mwishoni mwa miaka ya 60 kubadilishwa tena jina na Mwanachama wa Yanga alipoamuru iachane na jina la Sunderland kwa kuwa walipewa na wakoloni na iitwe Simba.Fuatilia Mpira ndugu. Nenda Jangwani pale watakupa majibu.
Wote wehuAzam vs Simba kupigwa Zbar hapo vipi ??