Yanga waahidi kutwaa ubingwa wa sport pesa super cup

Duh wako wapi waliokuwa wanasema yanga yao aiwezi kukodishwa kama masufuria ya shughuli.
Uongozi mbovu
Benchi la ufundi bovu
Team mbovu
Wanachama na wapenzi ovyo kabisa
Ushauri jengo la Yanga likodishwe kama hostel za wanafunzi
Tangu lini makambale yakawa na akili, hata chooni utayakuta. bure kabisa hayo.

YANGA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Kesho wanatua na kombe !!! Wananchi tukitokeze kuwapokea; wana simba masuala haya ni ya kitaifa tujitokeze pia saa kumi kamili uwanja wa ndege wa Mwalimu nyerere terminal 1 kwa wageni maalum.

Hongera chama kubwa - wa kimataifa. Nani kama Yanga bwaana.
 
Yanga mbovu tumekubali ila BASHITE hata akifa Leo nitaenda na gari langu makaburini na kufungulia muziki kwa sauti ya juu nikishangilia alafu wakizika na kuondoka nitaenda kujisaidia juu ya kaburi lake...nyambaf
 
sasa si muwadhamini nauli
 
Yanga mbovu tumekubali ila BASHITE hata akifa Leo nitaenda na gari langu makaburini na kufungulia muziki kwa sauti ya juu nikishangilia alafu wakizika na kuondoka nitaenda kujisaidia juu ya kaburi lake...nyambaf

Mkuu unahasira na Bashite
 
Yanga ni sawa dafutari la mwandiko kila mtoto anajifunzia, humo kuandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…