Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Hivi Yanga wamesahau kuwa wanakwenda kushiriki Ligi kuu ya Tanzania bara na kombe la club Bingwa barani Africa?
Mbona usajili wanaofanya ni kama timu inayokwenda kushiriki La Liga? Mimi nadhani viongozi wakumbushwe kuwa sisi Simba hatuna ugomvi nao, ila tunaomba wasitufanyie hivyo.
Hivi kweli unamsajili mchezaji wa EPL kwenye ligi ambayo sisi tumesajili walioshusha daraja timu zao?
Kwanini Yanga wasibaki na kikosi kile cha msimu ulioisha mbona kinaweza kufika mpaka fainali za club Bingwa? Hii sio sawa kabisa, serikali iingilie kati tutafungwa magoli 10 hivihivi kwenye ngao ya hisani.
We angalia li Morison lilivyo tupania, bado li Mayele, kuna li Feitoto, halafu kuna li Azizi Ki kuna li Bigirimana sasa Inonga atamkaba nani?
Tafadhali sana TFF ongeeni na Yanga basi aaaagh.
Mbona usajili wanaofanya ni kama timu inayokwenda kushiriki La Liga? Mimi nadhani viongozi wakumbushwe kuwa sisi Simba hatuna ugomvi nao, ila tunaomba wasitufanyie hivyo.
Hivi kweli unamsajili mchezaji wa EPL kwenye ligi ambayo sisi tumesajili walioshusha daraja timu zao?
Kwanini Yanga wasibaki na kikosi kile cha msimu ulioisha mbona kinaweza kufika mpaka fainali za club Bingwa? Hii sio sawa kabisa, serikali iingilie kati tutafungwa magoli 10 hivihivi kwenye ngao ya hisani.
We angalia li Morison lilivyo tupania, bado li Mayele, kuna li Feitoto, halafu kuna li Azizi Ki kuna li Bigirimana sasa Inonga atamkaba nani?
Tafadhali sana TFF ongeeni na Yanga basi aaaagh.