Mimi yanga,nataka tutoke ili tusiingize timu nne mwakani,midomo flan ikose kimataifa mwakani maana ubavu wa kuchukua ubingwa hawanaTatizo Yanga wana midomo, swala la ratiba hilo wao walisemaga kuwa ni njama za TFF kuiwekea viporo Simba ili ichukue ubingwa
Now Kocha wao ameanza kulia lia
Unataka mtoke kwani tayari mshaingia?Mimi yanga,nataka tutoke ili tusiingize timu nne mwakani,midomo flan ikose kimataifa mwakani maana ubavu wa kuchukua ubingwa hawana
Ungewaza kwanza kuwa kwanini Tanzania tumeingiza timu nne na aliyesababisha ni nani. Basi usingeandika hiki ulichoandika kwa kujiamini kwasababu kama aliweza kukusanya point za kuifanya Tanzania iingize timu nne hapo nyuma basi hata msimu huu huo uwezo upo kwasababu tayari timu ipo makundi kabakisha hatua mbili tu wacheze fainali ya klabu bingwa.Mimi yanga,nataka tutoke ili tusiingize timu nne mwakani,midomo flan ikose kimataifa mwakani maana ubavu wa kuchukua ubingwa hawana
BravoUngewaza kwanza kuwa kwanini Tanzania tumeingiza timu nne na aliyesababisha ni nani. Basi usingeandika hiki ulichoandika kwa kujiamini kwasababu kama aliweza kukusanya point za kuifanya Tanzania iingize timu nne hapo nyuma basi hata msimu huu huo uwezo upo kwasababu tayari timu ipo makundi kabakisha hatua mbili tu wacheze fainali ya klabu bingwa.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hahahaa ati fainali,point za Libya zitazidi na tutapeleka timu mbili tuUngewaza kwanza kuwa kwanini Tanzania tumeingiza timu nne na aliyesababisha ni nani. Basi usingeandika hiki ulichoandika kwa kujiamini kwasababu kama aliweza kukusanya point za kuifanya Tanzania iingize timu nne hapo nyuma basi hata msimu huu huo uwezo upo kwasababu tayari timu ipo makundi kabakisha hatua mbili tu wacheze fainali ya klabu bingwa.
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Sasa unabisha?Hahahaa ati fainali,point za Libya zitazidi na tutapeleka timu mbili tu
Uende fainali na mzamiru babu!!Sasa unabisha?
Sisi tumebakiza hatua mbili, nyinyi mmebakiklza hatua moja kuanza kutafuta mchawi anaye wakwamisha
Mzamiru huyo huyo tulienda naye roboUende fainali na mzamiru babu!!
Robo ya corona na kupulizia watu vyumbaniMzamiru huyo huyo tulienda naye robo
So nyie kupitia mbio za Kisinda mnaamink anaweza kimbia mpaka mkayafikia makundi?
Afu leo nimeona Ally Kamwe akisema Yanga wanatengeneza makundi makubwa mawili
Kumbe wenzetu tayari mko kwenye makundi afu hata hamringi?
Kwani wewe kipindi cha Corona hukushiriki hayo mashindano?Robo ya corona na kupulizia watu vyumbani
Ulikutana na Nani mpaka kufika makundi!?..akina de agosto!Kwani wewe kipindi cha Corona hukushiriki hayo mashindano?
Ulikutana na Nani mpaka kufika makundi!?..akina de agosto!
Itakuwa uliweka kando akili wakati unaandika huu utopolo. Simba ilibebbe makombe miaka 4 mfululizo ikiwa inashiriki ratiba ngumu za CAF na hao Yanga walikuwa hawana kinachowabana.Yanga nawaombea sana washinde kesho pia wawexe kuvuka. Wakivuka itakuwa vzr sana kwa sbb watabaki makundi na ratiba itawaumiza kama ambavyo Simba huumia. Wakitoka Simba tumekwisha maana sisi tutabaki makundi na ratiba itatubana mno wao wakichekelea.
Yanga tunawasupport mvuke
Mkuu unahangaika na failures, utopolo wapo wanafanya suplimentaries huko huku wakivimba vichwaMzamiru huyo huyo tulienda naye robo
So nyie kupitia mbio za Kisinda mnaamink anaweza kimbia mpaka mkayafikia makundi?
Afu leo nimeona Ally Kamwe akisema Yanga wanatengeneza makundi makubwa mawili
Kumbe wenzetu tayari mko kwenye makundi afu hata hamringi?
Ni nyani wa pori la UtopoloAfu kwanza hyo methali naijua, huwa haisemi hivyo
Labda kama hao nyani unaowasema ni wale aliowazungumzia lucy eymael