Yanga nawaombea sana washinde kesho pia waweze kuvuka. Wakivuka itakuwa vizuri sana kwasababu watabaki makundi na ratiba itawaumiza kama ambavyo Simba huumia. Wakitoka Simba tumekwisha maana sisi tutabaki makundi na ratiba itatubana mno wao wakichekelea.
Yanga tunawasupport mvuke.
Yanga tunawasupport mvuke.