Yanga wachezaji wazawa wanatuangusha

Yanga wachezaji wazawa wanatuangusha

 
  • Kicheko
Reactions: tyc
Si mlidanganywa ni TFF,bodi ya ligi na waamuzi ndio wanafanya timu yenu inakosa magoli?
Au akili zimeanza kuwasogea?Maana mmekuwa na akili za magazeti na wachambuzi maandazi,eti kwa kuwa Kaze katika Barcelona na ninyi wachezaji wenu wako kama Barcelona!Na mkaamini kabisa maneno hayo ila tu mkajua hamfungi goli nyingi kwa sababu ya makando kando!

Ndiyo maana hili jina utopolo limewapendeza sana
 
Uto Nawashauri msifikirie kufukuza wachezaji kwasbab mna kikosi kizuri tu ila shida ipo kwa Kocha

Ukiangalia quality ya wachezaji kama kina Mukoko Tonombe, Tuisila, Feisal, Farid, Sarpong, Mauya, Sarpong, Hb wa Kireno etc quality ipo juu kulinganisha na wachezaji wa timu ambazo mmeloose points kama Coastal, Mbeya City, Kagera, Prisons na hata wale Ken Gold mliowafunga kwa mbinde sana

Kinachowagharimu ni falsafa mbovu ya ufundishaji wa Kaze, soka halieleweki zaidi ya butua butua tu kwenda mbele, yaani haiingii akilini kusema Kaze alikuwa akiikochi timu ya vijana ya Barca ilhali inaeleweka kuwa falsafa ya Barca kwa vikosi vyote wakubwa mpaka vijana ni tiktak style yaani mpira biriani OG,,, sasa how come huyu Kaze aje na soka bovu namna hii????

Mna uhakika huyu alikuwa Barca kweli au tumepigwa kingi mapema!???

Kwa mshahara anaokula Kaze afu kwa soka lile bovu Nawashauri ni bora timu mumpe Amri Said Stam angalau mtasave hata Gharama ya mshahara
 
Kuna mwaka Man U na Man city walikuwa wanafukuzia ubingwa wa England! Mpaka dakika ya 91 Man U walikuwa wana uhakika wa kubeba ndoo! Kilichotokea hawaamini hadi leo! Ndugu zangu mchezo wa soka hautabiliki, wekeni akiba ya maneno! Bado mechi ni nyingi sana!
Nyie yanga ndio mlibidi muweke akiba ya maneno, kabla ya kuanza kutoa droo c mlkua mnajitapa mnachukua ubingwa msimu huu? Imeanza kujeuka mnaongea kwa huruma ooh cjui man u na man city. Yanga kuchukua ubingwa msimu huu ni dharau kubwa sana kwa simba n ligi yetu ya vpl
 
Mchezaji mzawa mwenye hadhi ya kuvaa jezi ya kidimbwi FC ni yule dogo Fei.
Wengine wote wa kawaida sana
 
Mchezaji mzawa mwenye hadhi ya kuvaa jezi ya kidimbwi FC ni yule dogo Fei.
Wengine wote wa kawaida sana
Fei naye maisha sio fei yule tena anapaisha tu mipira golini
Wewe ukitaka kuamini kuwa wazawa wetu hakuna kitu rudi kwenye timu zetu za taifa hapo utapata ukweli wote
 
Kwa modern soccer kwa sasa mpira umebadilika mno hebu tuwaangalie kesho timu ya Mamelodi quality yao pale ndipo utakapoona kuwango anachostahili kuwa nacho Yanga.
Mkuu, ungewataja tu hata hao Simba! We' hulipendi BIRIANI lao, mpaka utoe mfano wa mbali?
 
Fei naye maisha sio fei yule tena anapaisha tu mipira golini
Wewe ukitaka kuamini kuwa wazawa wetu hakuna kitu rudi kwenye timu zetu za taifa hapo utapata ukweli wote
Ni kama namwona msimu ujao akiondoka pale, kama ana meneja mzuri na washauri wazuri. Pale kipaji kitakufa.
Mpira ni pesa, na Yanga hawako vizuri sana katika hilo.
Angalia simba wamefikia 5 Star Hotel Sudan, wakishinda kuna ml 200.Familia za wachezaji wa simba watakua na Maisha mazuri, no stress! Mchezaji ana concentrate
 
Ni kama namwona msimu ujao akiondoka pale, kama ana meneja mzuri na washauri wazuri. Pale kipaji kitakufa.
Mpira ni pesa, na Yanga hawako vizuri sana katika hilo.
Angalia simba wamefikia 5 Star Hotel Sudan, wakishinda kuna ml 200.Familia za wachezaji wa simba watakua na Maisha mazuri, no stress! Mchezaji ana concentrate
Ufadhili wa Yanga /Simba ni wa msimu tu, Yanga kipindi cha Manji walitesa sana. Yanga hawako vibaya kifedha, na hata performance ya timu siyo mbaya, kinachohitajika ni kurekebisha hasa safu ya ushambuliaji. Labda ungesema Fey Toto afikirie kutafuta club nje ya Tanzania na sio habari za Simba.
 
Sio Yanga tu Mkuu,hata Simba na timu zinginezo,wazawa wanabweteka sana,wageni wanajituma sana na hata juhudi zao uwanjani zinaonekana.Ni wazawa wachache wana wanaojitambua.Wazawa walichobaki nacho ni kuwapiga miba wageni wakidhani inawasaidia ilhali hawana juhudi
 
Hili ndio tatizo namba moja,

Wazawa wote wanaocheza nafasi za viungo na mbele akiwemo na Niyonzima wakubali tu kuwa viwango vipo chini waondoshwe. Kwa modern soccer kwa sasa mpira umebadilika mno hebu tuwaangalie kesho timu ya Mamelodi quality yao pale ndipo utakapoona kuwango anachostahili kuwa nacho Yanga.

Jingine ni umiliki wa mpira, tuna tatizo dogo la kupoteza mipira mingi pale tunapopenda sana kutumia mipira ya juu badala ya pasi za mtu kwa mtu pamoja na matumizi ya V pass hili limewashinda kabisa hasa wachezaji wazawa kama Nchimbi na wenzake.

Yanga ipo vizuri, mwalimu mzuri shida ipo hapo tu ambapo tunahitaji uwekezaji mkubwa tuongeze wachezaji ma-pro wazuri makombe tutayazoa mpaka tuseme basi.
Niyonzima anafanya nini kwenye maelezo yako?? Niyo ni mzawa???
 
Mchele ni uleule ila mapishi ndio yanatofautiana... Yanga na Simba zina tofauti ndogo sana, kinachotatiza ni nani anakubali mapungufu yake???
.... Hizi timu zinatakiwa zipate madikteta watukutu labda zinaweza kuwa bora zaidi ya sasa
 
Back
Top Bottom