Yanga wachezaji wazawa wanatuangusha

Yanga wachezaji wazawa wanatuangusha

Sio Yanga tu Mkuu,hata Simba na timu zinginezo,wazawa wanabweteka sana,wageni wanajituma sana na hata juhudi zao uwanjani zinaonekana.Ni wazawa wachache wana wanaojitambua.Wazawa walichobaki nacho ni kuwapiga miba wageni wakidhani inawasaidia ilhali hawana juhudi
Nakubaliana nawe kwa 100%
 
Kuna mwaka Man U na Man city walikuwa wanafukuzia ubingwa wa England! Mpaka dakika ya 91 Man U walikuwa wana uhakika wa kubeba ndoo! Kilichotokea hawaamini hadi leo! Ndugu zangu mchezo wa soka hautabiliki, wekeni akiba ya maneno! Bado mechi ni nyingi sana!
Mtani kelele za kuchukua ubingwa mlizianza nyie tena mapema sana.
 
Niyonzima anafanya nini kwenye maelezo yako?? Niyo ni mzawa???
Niyonzima naye kazeeka sasa hivi unategemea kupata nini kwa mchezaji aliyefika miaka 13 iliyopita?eti leo akipewa matokeo....
 
Back
Top Bottom