Wonderful
JF-Expert Member
- Apr 8, 2015
- 7,347
- 5,986
Yanga FC imeiomba TFF kuiruhusu kusajiri wachezaji 8 wa kigeni ili iweze kuiwakirisha vema Tanzania katika michuano ya kimataifa.
Yanga wameiomba TFF iwakubalie ombi lao maana tayari ina wachezaji 12 wa kigeni inaowafanyia majaribio.
My take:
Naunga mkono hoja ya Yanga endapo tu itaonekana ni tija kwa Klabu na kwa taifa.
Yanga wameiomba TFF iwakubalie ombi lao maana tayari ina wachezaji 12 wa kigeni inaowafanyia majaribio.
My take:
Naunga mkono hoja ya Yanga endapo tu itaonekana ni tija kwa Klabu na kwa taifa.