Kama Yanga watajianda kujinda na kufanya mashambulizi ya kushtukiza watashinda ama sare na kupiga matatu. Nawaombea utopolo wapite ili nao wawe makundi harafu tuone wakicheza kule na huku kama watatuweza kutoboa kwenye Ligi. Me naamini yanga wanataka watoke ili wahamishie nguvu yao yote kwenye Ligi we unawachezaji wote haoo unashindwa kumchapa African kweli kwa Mkapa. Kuna kamchezo wanakifanya vile me nawaombea washinde tu