Yanga wakijilinda vizuri na kucheza counter african watatoka

sahivi mnatapatapa wakati Mzungu pori sliwaaminisha mwaka huu mnaenda kubeba caf champions.
Tunisia Yanga hatoki kwasababu huyohuyo mzungu pori alisema caf shirikisho ni kwa ma-looser.
 
Kwa ile beki ya yanga, haiwezi kuzuia dakika 45, za kwanza ubao utakuwa umeshaandikwa kitu either 1 au 2. Hii ukiangalia mechi ya Nyumbani hasa kipindi cha pili. Utanielewa tuombe uzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…