sahivi mnatapatapa wakati Mzungu pori sliwaaminisha mwaka huu mnaenda kubeba caf champions.
Tunisia Yanga hatoki kwasababu huyohuyo mzungu pori alisema caf shirikisho ni kwa ma-looser.
Kwa ile beki ya yanga, haiwezi kuzuia dakika 45, za kwanza ubao utakuwa umeshaandikwa kitu either 1 au 2. Hii ukiangalia mechi ya Nyumbani hasa kipindi cha pili. Utanielewa tuombe uzima