Yanga wakipata Philip Kizumbi na Kipre Junior watakuwa wamefaidika sana

Yanga wakipata Philip Kizumbi na Kipre Junior watakuwa wamefaidika sana

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Ningepata nafasi ya kuwashauri Yanga kuhusu usajili ningewambia watafute mawinga wazuri zaidi ambao wanajua ku dribble, wana speed na pia ni wazuri kwa kutoa pass.

Moloko ni mzuri some time kwa kutoa pass na speed lakini hajui ku dribble, na ni lazima winga awe mzuri pia kwa ku dribble kama alivyokuwa José Mikson wa Simba, Tuisila ndo bure kabisa, na kwa Morisson miaka imeenda.

Kwangu mimi Philip Kizumbi na Kipre Junior wa Azam ni wazuri zaidi na wanaweza kuwa msaada mkubwa kwa Yanga kwenye mechi za kimataifa na za ndani.


FB_IMG_1686195224000.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1686195264876.jpg
    FB_IMG_1686195264876.jpg
    152.1 KB · Views: 4
Ondoa shaka mkuu JamiiForums ni jukwaa kubwa sana na huu ushauri umeshawafikia tayari viongozi wa Yanga.
 
Sidhani kama azam watakubali kumuachia Kipre jr
 
Back
Top Bottom