Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wakati hivi sasa wako makini kuishambulia Yanga, moja ya lengo lao likuwa ni kuwakatisha tamaa mashabiki na wachezaji wa Yanga hususani wachezaji na viongozi ili wawe na molari ndogo kisha watolewe. Lakini matokeo yakija tofauti, bila aibu na kwa unafiki, watasema bila sisi kuwashambulia msingevuka.
Kwa maneno mengine, watakosa kabisa hoja za kujibu na itawalazimu kuja na hiyo kauli kuficha aibu yao. Binadamu ni kiumbe dhaifu na moja ya udhaifu ni kuamini jambo fulani katika mazingira fulani haliwezekani na linapowezeka, utawasilkia wakisema kauli kama nimeshindwa kuamini, Mungu ni wa ajabu, n.k.
NB: Kuna mdau aliweka uzi hapa kuwakumbusha kuwa mwaka 2014 kama sio 2016, Yanga iliwasimamisha hawa hawa Al Hilal huko kwao na walikuja kupata bao moja la ushindi dakika ya 90 hivyo lolote linaweza kutokea, ukizingatia kikosi cha Yanga cha sasa ni bora zaidi.
Kwa maneno mengine, watakosa kabisa hoja za kujibu na itawalazimu kuja na hiyo kauli kuficha aibu yao. Binadamu ni kiumbe dhaifu na moja ya udhaifu ni kuamini jambo fulani katika mazingira fulani haliwezekani na linapowezeka, utawasilkia wakisema kauli kama nimeshindwa kuamini, Mungu ni wa ajabu, n.k.
NB: Kuna mdau aliweka uzi hapa kuwakumbusha kuwa mwaka 2014 kama sio 2016, Yanga iliwasimamisha hawa hawa Al Hilal huko kwao na walikuja kupata bao moja la ushindi dakika ya 90 hivyo lolote linaweza kutokea, ukizingatia kikosi cha Yanga cha sasa ni bora zaidi.