Yanga wako OVERATED, kisa eti kumfunga Simba!! Coastal kathibitisha hivyo jana

Yanga wako OVERATED, kisa eti kumfunga Simba!! Coastal kathibitisha hivyo jana

Kufanikiwa kuifunga Simba goli 5 imefanya yanga kuwa overated. Jana Coastal union waliliona hilo wakakomaa na uto kuponea chupu chupu!!
Assume timu yako ya Simba ikutane na mazingira kama aliyokutana nayo Yanga;
Kacheza mechi dhidi ya Azam, kafuata Singida kisha kafuata Simba jumapili. Baada ya mechi ya jumapili anapunzika siku moja tu ambayo ni Jumatatu ambapo wachezaji wanaweka miili sawa. Siku ya jumanne ni safari kwenda Tanga na jumatano ni mechi dhidi ya Coastal union. Timu yako ingekutana na mazingira kama hayo wangepigwa tena magoli mengi tu lakini pamoja na kukosa muda wa kupumzika, pamoja na kukosa hata muda wa kufanya mazoezi kujiadaa na mechi lakini point tatu zimebebwa zote dhidi ya timu isiyokuwa na fatigue yoyote ile. Hiyo ni kazi nzuri ya kocha wa viungo na kuwa na wachezaji walio bora, timu yako pamoja na kukaa Dar na pamoja na kuongezewa siku moja zaidi ya Yanga lakini katoa sare dhidi ya Namungo.

Maneno ya Rage msione ni sifa kuishi nayo.
 
Mi Leo nilingoja nione kapombe na zimbwe wakilia aah wapi kumbe wameshazoea
 
Kufanikiwa kuifunga Simba goli 5 imefanya yanga kuwa overated. Jana Coastal union waliliona hilo wakakomaa na uto kuponea chupu chupu!!
Ndugu Yanga ni bora kwa sasa ukubali tu yaishe. Yanga ni ya 3 kwa ubora Africa na ya 63 duniani kwa ubora. Mtaumia sana na husda zenu hizo ila huo ndio ukweli
 
[emoji2772][emoji2772][emoji2772][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IMG-20231109-WA0043.jpg
 
Kufanikiwa kuifunga Simba goli 5 imefanya yanga kuwa overated. Jana Coastal union waliliona hilo wakakomaa na uto kuponea chupu chupu!!
It is better to keep your mouth closed and let people think you are a fool than to open it and remove all doubt.

Mark Twain
 
Back
Top Bottom