Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaaha saaanaKwa hiyo yanga tumefungua kisa Abdurhamani Kinana
HahaahahahaKuna watu wanatupunguzia laana za vilio vya watu kwetu sisi tunao waburudisha
View attachment 2316452
Na Manara anatuaibisha, hana staha kabisa. Ila inawezekana akawa na mental case maana ni mbishiHakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.
Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa
Yanga kama Mandonga tu
Hahahahaah Rafiki upo?Na Manara anatuaibisha, hana staha kabisa. Ila inawezekana akawa na mental case maana ni mbishi
Naunga mkono hoja.Hakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.
Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa
Yanga kama Mandonga tu
[emoji38][emoji38][emoji38]Hakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.
Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa
Yanga kama Mandonga tu