Yanga wakome kuwaalika CCM kwenye michezo

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Hakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.

Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa

Yanga kama Mandonga tu
 
Hakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.

Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa

Yanga kama Mandonga tu
Na Manara anatuaibisha, hana staha kabisa. Ila inawezekana akawa na mental case maana ni mbishi
 
Hakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.

Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa

Yanga kama Mandonga tu
Naunga mkono hoja.
CCM ni mama wa mikosi, nuksi, balaa na kila aina ya laana.
 
Hakukua na umuhimu wowote ule kumfanya Mzee Kina ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa CCM kuwa Mgeni rasmi kwenye kusanyiko lenye Watu wenye itikadi tofauti za Vyama.

Wamevuna walichostahili. Saafi kabisa

Yanga kama Mandonga tu
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Nyuti nyuti sorry beauty beauty
 

Attachments

  • IMG-20220806-WA0116.jpg
    25.7 KB · Views: 5
  • IMG-20220806-WA0115.jpg
    65.8 KB · Views: 5
  • IMG-20220806-WA0113.jpg
    63.3 KB · Views: 5
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…