Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi sababu zinazotolewa na mashabiki hazitubabaishi sisi wanayanga tunaoujua mpira
Mimi mwenyewe mvua sijaielewa. Mbona Leo hamna? Mwezi mzima mvua imenyesha Jana mamamae wanga fc wametuharibia mechi
Mlipomtukana yule mzee wa kwamsisi, handeni mlitegemea nini? Na msipomuomba radhi mapema kule Algeria hamtoboooi.Mimi mwenyewe mvua sijaielewa. Mbona Leo hamna? Mwezi mzima mvua imenyesha Jana mamamae wanga fc wametuharibia mechi
Wenye akili kama yule sambaloketo wa makolo fc?NABI alikosa KUPANGA KIKOSI
Jana nimemdharau sana Nabi.
Anabebwa na Mayele.
Mechi kama zile unakwenda na
3 : 4 : 2 : 1
Wenye akili tu ndio WATANIELEWA.
Walivaa Moka zikawasaisdia.Mara ooh uwanja ulilowa, kwani waarabu walichezea mawinguni?