Yanga Walia na "Mvua ya Magumashi" mechi yao v/s USM Alger

Yanga Walia na "Mvua ya Magumashi" mechi yao v/s USM Alger

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Screenshot_20230528-221653~2.png


 
Mimi ni Simba sc, nina jamaa yangu ni utopolo lialia. Nilipoona tu kuna mvua inanyemelea nikamwambia mshaliwa.

Halafu mjifunze, acheni kutukana wazee🤣🤣🤣🤣.

Bogi lilikuwa linakazana utopolo wakianza kushambulia.

Akilini mwao walishakuwa na hofu(phobia) na mvua, kwa hiyo wakiona mvua tu wanaweweseka.
 
Back
Top Bottom