Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
😀😀😀😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kwa waarabu ndo ko konkiiio wenyeweee, huyo Diarra hataona mpira zaidi ya bomuu linakuja langoni kwakeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu wale wenye mnaimiliki hii "Mvua" hatuwezi kwenda nayo Algeria tukamaliza Kabisa kazi hiyo tarehe 03/06 kuzima kelele mjini??
Au ndo uchawi haupandi ndege?
El ninyoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Algeria tunaleta gharika
Kweli kukandwa kubaya... 😉
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ama kweli Simba Kubwa, yaani wanamiliki hadi mvua..!
Monastir alishapita kwenye makundi hata angefungwa ingempunguzia nini wewe Kolowizard?Ile iliyonyesha walipocheza na Monastir na kushinda mbona haya malalamiko hayakuwepo ha ha ha
Wanayemuita pofesa kasema sababu ni uchovu usiwasikilize hao maana siyo sehemu ya wenye akili huko
Mna kesi ya kujibu hauwezekani mvua yanga anashambulia inaongezeka🤣🤣🤣🤣🤣Algeria tunaleta gharika
Yani bora wangenyamaza tuu..kufungwa kwani wao wa kwanza??Mna kesi ya kujibu hauwezekani mvua yanga anashambulia inaongezeka🤣🤣🤣🤣🤣
Kha mnaroho mbaya hamkutaka sie tugegede mashangazi ya yanga
Haiwezekani mvua inyeshe Jana tuuuu mwez huu wote.. Cha ajabu mvua Leo hakuna na mawingu kama ya Jana yapoyapo. Mbaya zaidi... Mpira tukishika yanga Jana mvua inaongezeka. 😭😭😭😭Yani bora wangenyamaza tuu..kufungwa kwani wao wa kwanza??