Yanga walifanya uamuzi wa maana kuachana na mcameroon

Yanga walifanya uamuzi wa maana kuachana na mcameroon

Bwana Bima

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2014
Posts
429
Reaction score
929
Nadiriki kusema hivyo kwasababu inasemakana bwana yule mahop alifika mpaka Dar akaomba mshahara wa milion 35 per month na alipwe pesa yote ya signing fee.

Jaman nina maswali mengi aana kichwani kuhusu hili je ni kweli au ni propaganda za makolo? Kwanza je kuna mchezaji wa kulipwa kwa daraja hili hapa bongo ambaye mwaka wa kwanza kuja tu ashawahi kulipwa kiasi chote hiki cha pesa?

Je kwann hatukusikia tetesi za kutakiwa na mataifa yenye misuli ya pesa badala yake ni yanga ndo ilikua inazungumziwa zaidi? Huko alikotoka alikua analipwa bei gani kwa mwezi mpaka kutaka pesa nyingi kiasi hicho?

Nadiriki kusema huenda ilikua ni propaganda au watu walikua wanapiga debe kama kawaida kupata 10% au huenda yanga waliamua kuachana naye kwa sbabu ya gharama zake
 
Nadiriki kusema hvyo kwasababu inasemakana bwana yule mahop alifika mpaka dar akaomba mshahara wa milion 35 per month na alipwe pesa yote ya signing fee. Jaman nina maswali mengi aana kichwani kuhusu hili je ni kweli au ni propaganda za makolo? Kwanza je kuna mchezaji wa kulipwa kwa daraja hili hapa bongo ambaye mwaka wa kwanza kuja tu ashawahi kulipwa kiasi chote hiki cha pesa? Je kwann hatukusikia tetesi za kutakiwa na mataifa yenye misuli ya pesa badala yake ni yanga ndo ilikua inazungumziwa zaidi? Huko alikotoka alikua analipwa bei gani kwa mwezi mpaka kutaka pesa nyingi kiasi hicho? Nadiriki kusema huenda ilikua ni propaganda au watu walikua wanapiga debe kama kawaida kupata 10% au huenda yanga waliamua kuachana naye kwa sbabu ya gharama zake
Nadhani hapa Afrika, kwasasa Tanzania ndio ligi yenye amsha amsha na branding kubwa,pengine kuliko ligi zingine zote (sizungumzii ubora).

Pia kuna hela ya kutosha sana huku, kwahiyo huyo Mahop aliona statistics zake za msimu uliopita zinaweza kumfanya apate hicho kitita. Ila alishoshindwa kujua, huu ni msimu wake wa kwanza, hakuna anayeweza kucheza hiyo kamali. Kumbukumbu za Yikpe na Sarpong bado tunazo
 
Nadhani hapa Afrika, kwasasa Tanzania ndio ligi yenye amsha amsha na branding kubwa,pengine kuliko ligi zingine zote (sizungumzii ubora).

Pia kuna hela ya kutosha sana huku, kwahiyo huyo Mahop aliona statistics zake za msimu uliopita zinaweza kumfanya apate hicho kitita. Ila alishoshindwa kujua, huu ni msimu wake wa kwanza, hakuna anayeweza kucheza hiyo kamali. Kumbukumbu za Yikpe na Sarpong bado tunazo
Kabisa na ndo shida ya waafrica hawana watu wa maana wa kuwasimamia kwenye negotiations... Labda aende akatafute timu nje ila sio kwa bongo
 
Nadiriki kusema hvyo kwasababu inasemakana bwana yule mahop alifika mpaka dar akaomba mshahara wa milion 35 per month na alipwe pesa yote ya signing fee. Jaman nina maswali mengi aana kichwani kuhusu hili je ni kweli au ni propaganda za makolo? Kwanza je kuna mchezaji wa kulipwa kwa daraja hili hapa bongo ambaye mwaka wa kwanza kuja tu ashawahi kulipwa kiasi chote hiki cha pesa? Je kwann hatukusikia tetesi za kutakiwa na mataifa yenye misuli ya pesa badala yake ni yanga ndo ilikua inazungumziwa zaidi? Huko alikotoka alikua analipwa bei gani kwa mwezi mpaka kutaka pesa nyingi kiasi hicho? Nadiriki kusema huenda ilikua ni propaganda au watu walikua wanapiga debe kama kawaida kupata 10% au huenda yanga waliamua kuachana naye

Yanga walifanya uamuzi wa maana kuachana na mcameroon
Title inaipongeza Yanga kwa maamuzi. Maelezo ya post yanaonyesha hujui nini kilisababisha wamuache. Sasa iweje unaipongeza Yanga kwa kumuacha wakati hujui walimuacha kwa sababu zipi?
 
Title inaipongeza Yanga kwa maamuzi. Maelezo ya post yanaonyesha hujui nini kilisababisha wamuache. Sasa iweje unaipongeza Yanga kwa kumuacha wakati hujui walimuacha kwa sababu zipi?
Kwa habari za ndani nilizonazo ni kweli yanga waliulizia huduma yake ila sasa mtaani wengi wanasema alikuja hapa, akafanya mazungumzo na kudai huo mshahara, lakini viongozi wanasema hawakumhitaji... Hapo kosa liko wap..? Ndomana nikasema in general yanga walifanya uamuzi mzuri kuachana naye
 
Nadhani hapa Afrika, kwasasa Tanzania ndio ligi yenye amsha amsha na branding kubwa,pengine kuliko ligi zingine zote (sizungumzii ubora).

Pia kuna hela ya kutosha sana huku, kwahiyo huyo Mahop aliona statistics zake za msimu uliopita zinaweza kumfanya apate hicho kitita. Ila alishoshindwa kujua, huu ni msimu wake wa kwanza, hakuna anayeweza kucheza hiyo kamali. Kumbukumbu za Yikpe na Sarpong bado tunazo

Kweli mkuu umeongea ukweli sna
 
Kama wengine watakusifia basi Mimi nitakuwa Mkweli Katika Kukusema.

1. Uandishi wako wa KITOTO SANA. Kuanzia mwanzo wa andiko lako Hadi mwisho hakuna ALAMA yoyote ya Uandishi, Nukta, kituo, Aya nk.

2. Ulichoandika Cha maana hakieleweki UNALALAMIKA sijui una wivu au unalia?????

3. Kuandika hayo majina Ya KIPUMBAVU ya akina Haji MANARA Huwa hatupendi.
KOLO AU UTOPOLO, Huwa yanaandikwa kwenye Comment na si kwenye Uzi.

4.Jifunze MATUMIZI ya herufi kubwa na ndogo kwenye Uandishi wako.
Mfano Majina yote, Nomino Huwa zinaandikwa kwa herufi kubwa.
Dar es salaam.

5. JISAHIHISHE.
 
Kama wengine watakusifia basi Mimi nitakuwa Mkweli Katika Kukusema.

1. Uandishi wako wa KITOTO SANA. Kuanzia mwanzo wa andiko lako Hadi mwisho hakuna ALAMA yoyote ya Uandishi, Nukta, kituo, Aya nk.

2. Ulichoandika Cha maana hakieleweki UNALALAMIKA sijui una wivu au unalia?????

3. Kuandika hayo majina Ya KIPUMBAVU ya akina Haji MANARA Huwa hatupendi.
KOLO AU UTOPOLO, Huwa yanaandikwa kwenye Comment na si kwenye Uzi.

4.Jifunze MATUMIZI ya herufi kubwa na ndogo kwenye Uandishi wako.
Mfano Majina yote, Nomino Huwa zinaandikwa kwa herufi kubwa.
Dar es salaam.

5. JISAHIHISHE.
We jamaa unajifanyaga msomi mara sijui fact wakat huna lolote... Sishangai sasa Gentamycine anakubababua. Ok hoja ya msingi hujajib unakuja kucretisize mwandiko una akili kweli wewe??? Hujaelewa fyata mkia. Sometimes uandishi si lazima unyooshe ujumbe unatosha. Mingo zako za kunyoosha story peleka thread ambazo ni serious kolo wewe
 
Ukweli Mada haieleweki, unalaumu, unauliza, unalalamika ama unasifia? punguza hasira mzee, aaf unamwita mwenzio "kolo" kwa tafsiri ya tusi ama?
 
Nadhani hapa Afrika, kwasasa Tanzania ndio ligi yenye amsha amsha na branding kubwa,pengine kuliko ligi zingine zote (sizungumzii ubora).

Pia kuna hela ya kutosha sana huku, kwahiyo huyo Mahop aliona statistics zake za msimu uliopita zinaweza kumfanya apate hicho kitita. Ila alishoshindwa kujua, huu ni msimu wake wa kwanza, hakuna anayeweza kucheza hiyo kamali. Kumbukumbu za Yikpe na Sarpong bado tunazo
Umeongea ukweli mkubwa. Wakati Simba inataka kusajili kipa Mbrazil yule wa Kwanza niliandika "Hakuna sababu ya kuingia gharama kubwa kupata cha nje kinachopatikana ndani Kwa gharama nafuu". Nilipigwa mawe nikajificha Kwa jirani.
Yanga walipoanza Kwa Mahop na gharama nilizosikia eti 35m per month nikasema kwenye thread moja kwamba ni hasara kusajili Yikpe Junior Kwa gharama hiyo.
 
Nadhani hapa Afrika, kwasasa Tanzania ndio ligi yenye amsha amsha na branding kubwa,pengine kuliko ligi zingine zote (sizungumzii ubora).

Pia kuna hela ya kutosha sana huku, kwahiyo huyo Mahop aliona statistics zake za msimu uliopita zinaweza kumfanya apate hicho kitita. Ila alishoshindwa kujua, huu ni msimu wake wa kwanza, hakuna anayeweza kucheza hiyo kamali. Kumbukumbu za Yikpe na Sarpong bado tunazo
mmenikumbusha usemi huu unafua na viratu unataka kulala hapahapa
 
Huyo mahondeka alitaka alipwe zaidi ya kalala mayele???huyo kweli tako
 
Back
Top Bottom